Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Chama cha CHADEMA kanda maalum ya Dar es salaam siku ya kesho wataendelea kuwa changia wahanga wa mabomu wa kule gongo la mboto, viongozi hawo wataambatana na wabunge wao pamoja na umoja wa wanafunzi vyuo vikuu (chaso) kwenda kutoa damu katika hospitali ya muhimbili saa nne asubuhi, kwa yeyote yule atakaye taka kushiriki nasi anakaribishwa,
tuwaokoe wenzetu kwa janga hili kubwa la kitaifa
tuwaokoe wenzetu kwa janga hili kubwa la kitaifa