leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,585
- 3,179
Vipi kuhusu akina chenge ns timu yake vijana shupavu na wapigania chama.Alijulikana na ndio maana alitengwa na chama mara baada ya awamu ya tano kushika dola. Alisubiriwa avue gamba lakini kaona kuliko kuvua gamba bora aende nalo huko aendako. Safari njema