chadema ikishinda 2015 Rizone kikwete hama nchi

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
naomba niweke wazi,kama kazi tunayofanya ya kuimarisha chama chetu ikizaa matunda 2015 na chadema kushinda namshauri huyu mtoto wa kiswahili rizone aondoke tanzania,&nbsp;<br>huyu jamaa amekuwa akijilimbikizia mali kila kukicha kwa kutumia mgongo wa baba yake,ukosefu wa uwezo wa kutambua alifanyalo kutokana na kiburi cha kuitwa mtoto wa Rais!!!!!!!!!!<br>kama baba yako hakuwa rais ungekuwa wapi leo,kwa kuwa huna heshima kwa watanzania tupo na tutakushughulLIkia kwa mujibu wa hasira za macomdred!
 
naomba niweke wazi,kama kazi tunayofanya ya kuimarisha chama chetu ikizaa matunda 2015 na chadema kushinda namshauri huyu mtoto wa kiswahili rizone aondoke tanzania,&nbsp;<br>huyu jamaa amekuwa akijilimbikizia mali kila kukicha kwa kutumia mgongo wa baba yake,ukosefu wa uwezo wa kutambua alifanyalo kutokana na kiburi cha kuitwa mtoto wa Rais!!!!!!!!!!<br>kama baba yako hakuwa rais ungekuwa wapi leo,kwa kuwa huna heshima kwa watanzania tupo na tutakushughulLIkia kwa mujibu wa hasira za macomdred!

Kuna Riz1,Ngeleja na Vigogo wawili wa VODACOM...wamepania kummlaliza january na dada yake. hawa jamaa waame nchi ccm ikishindwa 2015. january, maadui zako ni hao............. am an insider
 
Shiiiiiiiiiiiii Mkuuu Director1, tulia mkuu usiwe na haraka mambo mazuri hujulikana!! Nani asiyetaka hayo yote!! lakini ukianza kusema watashtuka na kuanza kutumia nguvu nyingi kuzuia au kuhalalisha upupu wao.
 
Chadema mtaishia kupiga kelele tu. Mnakaribia expire date, sidhani kama 2015 mtakuwa hai.
 
Wapii chadema ishinde ndoto za mchana hizo hkn kitu kama hch!!
Kumbe ndiyo maana mmeanza kuchakachua mchakato wa kupata katiba mpya ili muendelee kwa na katiba itakayoendelea kuwalinda, sawa tutaona.
 
Kumbe kuna watu wanahaha kushika nchi ili mlipize kisasi, basi hii ni hasara kubwa sana ya kifikra za kimapinduzi ambazo siku zote nimekua
nikiaminishwa. Mimi nilidhani kuna mabadiliko ya kimfumo yatakayooondoa kabisa uwezekano wa makosa tuliyonayo kujirudia, na hivyo kuleta
maendeleo kwa kasi zaidi na uwiano bora zaidi kati wananchi wa maeneo mbalimbali.

Halafu mkishawashughulikia au wakihama nchi? Maana itachukua miaka 5 mizima kuwamaliza waliotafuna nchi hii?...

Na wengine wanampigia chapuo January,.. January kumbe naye sikuhizi CHADEMA, nilikua siyajui. Dah, bongo bana!!!
 
Me naombea ishinde isishinde anzisheni vita, maana wanaccm hapa bongo wanajulikana kwahiyo vita haitakuwa kali sana hata ya Libya ni kubwa. CDM mna nguvu kubwa ila jiamini tu mtakuwa na askari wengi msiotarajia. Kifupi watu tumeichoka sana ccm. Na kwakuwa wana sare zao na wanajulikana hata kwa sura tutatumia siku si chini ya tatu tu. Nawashauri msiwe waoga kama mwaka jana. Hakuna ukombozi ambao sio wa kumwaga damu, damu itamwagika lakini ukombozi utapatkana.
 
Back
Top Bottom