rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
naomba niweke wazi,kama kazi tunayofanya ya kuimarisha chama chetu ikizaa matunda 2015 na chadema kushinda namshauri huyu mtoto wa kiswahili rizone aondoke tanzania, <br>huyu jamaa amekuwa akijilimbikizia mali kila kukicha kwa kutumia mgongo wa baba yake,ukosefu wa uwezo wa kutambua alifanyalo kutokana na kiburi cha kuitwa mtoto wa Rais!!!!!!!!!!<br>kama baba yako hakuwa rais ungekuwa wapi leo,kwa kuwa huna heshima kwa watanzania tupo na tutakushughulLIkia kwa mujibu wa hasira za macomdred!