gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,283
- 3,274
Hizo hoja wambie magamba wenzio! wambie waache kuongeza wilaya na mikoa na wizara,kuagiza ma-v8,rais aache kusafiri ovyo,wawakamate wezi na mafisadi wote na kuwafilisi!
Hakuna zaidi ya sanaa CDM mara zote wakula matapishi yao wenyewe,sasa anaeruka angani kila kukicha na anaetumia V8 ni yupi anaetumia gharama nyingi?