......huu si utaratibu mzuri wa kutoa maelekezo yanayopingana na katiba ya chama.....katiba ipo na inaeleza sifa za kuwa mwanachama....kama haikidhi haja irekebishwe.....ifuatwe katiba ili kupunguza migongano isiyo na faida...........Katika habari za saa za kituo cha ITV mwenyekiti wa CHADEMA ametangaza uamuzi huo.
kwa mapendekezo yangu hii ni hatua nzuri itasidia sana kuepuka na hizi habari za masalia na mamluki wengine ndani ya chama.
Kuwakwepa wanachama wapya wa CCM ni kutokubaliana na ukweli wa mambo.Upande mmoja ndio: cdm kupitia m4c wako mbioni kupata wanachama wengi vijana/wenye muono na wengi ambao si wanachama wa vyama vingine. zaidi ya tzns 12m ambao si wanachama ccm wanatosha kuingiza cdm ikulu.
upande mwingine, mlango wa wanaccm kwa vigezo maalum uwe wazi: mfano, kuwa mwanachama cdm bila mdaraka kwa mda furani- zaidi baada ya uchaguzi.
cdm imalisheni dafutari lenu la wana cdm pure kueleke 2015.
MWENYEKITI AMEKURUPUKA KATIKA HILI..
Nikiwa kama mwanachama mtiifu wa chadema naomba majibu...kwani wapiganaji wengi tu wa chadema wametoka CCM akiwemo Kamanda mawazo,Dr slaa, na wengine wengi tuu...KAMA MWENYEKITI HAJAKURUPUKA THEN ATOE SABABU ZAIDI YA KUOGOPA MAMRUKI......PEEEEEOPLESSSSSSSSS
- Je katiba ya chama inazungumzia nin kuhusu kujiunga chadema?
- kwanini chama kilikuja na mchakato wa VUA GAMBA VAA GWANDA, tena uliotumia pesa nyingi tu kunadi sela za chama nchi nzima ili kuwakomboa wana CCM kutoka ufisadini?
- Je ana uhakika gani kuwa kila mtu atakayeamia ni mamluki,mbona kuna watu walihamia kutoka CCM na sasa ndo central figure za CHADEMA i.e. Dr slaa
- Je kama chadema ipo kwa ajili ya ukombozi wa watanzania wote, hao wana CCM sio watanzania??
- JE chama kimeshindwa kuweka misingi imara ya uongozi na wanachama kiasi cha kuyumbishwa na mamluki?anataka kusema katiba na irani za chadema ni dhaifu kiasi icho?
- Je ni lazima kila atayehamia awe katika uongozi?au kuingia katika vikao vya juu vya chama kiasi cha kuvuluga utaratibu.
Mbona mnajichanganya kuna uzi humu CHADEMA yakomba wanachama wapya 1000.
Kimetumika kipengele gani cha katika mwenyekiti kukataa wanachama wapya?
Hivi vyama vinavyoendeshwa kama kampuni binafsi vina matatizo sana!!!
Mbona mnajichanganya kuna uzi humu CHADEMA yakomba wanachama wapya 1000.
Elewa kiswahili;kuanzia sasa haitawapokea waCCMMbona mnajichanganya kuna uzi humu CHADEMA yakomba wanachama wapya 1000.