Comrade Liu Yang
Senior Member
- Aug 16, 2023
- 149
- 256
hupewi hata ubaloz wa ten house bossNchi ina Rais Imara, shupavu ,jasiri na madhubuti madarakani ndio maana unaona uchumi wetu ukiendelea kufanya vizuri sana,maisha ya watanzania yakiendelea kuwa bora na yenye kuleta matumaini,huduma za kijamii zikiendelea kupelekwa karibu zaidi ya wananchi. Miradi ya maendeleo ikiendelea kujengwa kila mahali inayochochea maendeleo na fursa za ajira kwa maelfu ya vijana.