Mganga wa Jadi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2008
- 280
- 51
Ni dhahiri kwamba serikali imesabaisha fujo na mauaji ya watu wasio na hatia huko Arusha, wanasheria wa CHADEMA tunawaomba wawasilishe mashataka mahakamani ili wote walio sababisha yote haya wachukuliwe hatua. Hii ni pamoja na Mwema ambaye ndo first in the list kwa tamko alilotoa jioni ya siku iliyo tangulia mauaji hayo ya kinyama!!!!