Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Huyu jamaa anaonekana yupo makini sana katika kujenga hoja na anajiamini, yani mtu kama huyu na Mnyika, Lisuu na Zitto wakikaa pamoja nadhani CHADEMA itakuwa unstoppable.
Kamati ya Uenezi ya Chama tukumbuke eagle does not flock you have to find one at a time.
Kamati ya Uenezi ya Chama tukumbuke eagle does not flock you have to find one at a time.