Kojo Dowido
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 354
- 111
Niwazi mfumo huu wa mafazi ya gwanda mgombea wa urais CHADEMA hautaki. maana hatujamuona hata kwa kukosea kuufata huu mfumo wa uvaaji wa CHADEMA.
Kwa maana nyingine mfumo umeshindwa kumbadili mtu, sasa ni zamu ya mtu au mgombea kuabadili mfumo. hivyo CHADEMA wasiwadanganye wananchi hawajawahi kuwa na mfumo na wala hawana mfumo wa kubadili lolote.
Kwa maana nyingine mfumo umeshindwa kumbadili mtu, sasa ni zamu ya mtu au mgombea kuabadili mfumo. hivyo CHADEMA wasiwadanganye wananchi hawajawahi kuwa na mfumo na wala hawana mfumo wa kubadili lolote.