Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Chadema Arumeru ni mfano wa kuigwa kwa kuanzisha Ligi ya Mpira wa Miguu.Hongera Mbunge Mh Joshua Nasari Mungu atakulipa kwa moyo wako wa kusaidia vijana.KILEWO,NASARI NA KOMBE WAWASHA MOTO Arumeru vijana wapo tayari kuzuia malipo ya Dowans.