Chabo zingine mmmh

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,488
79
i1096_509010115290191963689691924295974845813n.jpg


hapo ni zero brain
 
Hahahahaha dah hii safi sana kwenye paper la namba unakula kitu.
 
Aisee hii kali, kumbe ameweka kioo (sight mirror) ili aweze kuangalizia majibu kwa mwenzake wa nyuma yakeeee!!! Sasa hii kama ni pepa la namba kama vile algebra akitumia kioo namba 6 inaweza kuwa 9 na wakati fulani P inaweza kuwa 9. Duh, hapo frequence ya kichwa chake ni 0.
 
bongo watu wadesa lakini si ki hivo!!! utajustfai vipi uwepo wa hizo saiti mira kwenye deski lako??? Profeessor Kanywanywi would have send many home
 
Back
Top Bottom