na kule makolokoloni fc, wote ni mbumbumbu except nani??? au kule hakuna exception?ni wotee MBUMBUMBU??HAHAHAHAWenye akili ni wawili tu mzee Msoga na mzee Sunday.
Inahusiana vp na hoja iliyopo mezani?Wenye akili ni wawili tu mzee Msoga na mzee Sunday.
Kweli elimu bora unapaswa kuwa kipaumbele kwa taifa letuPanya road wa Zambia
Mzee baba hii kali sana....Panya road wa Zambia
Panya road mahalai pao ni korokoroni mzee...na kule makolokoloni fc, wote ni mbumbumbu except nani??? au kule hakuna exception?ni wotee MBUMBUMBU??HAHAHAHA
Nyie mwenyekiti wenu alinyea debe kabisaUTOPOLO wameajiri CEO ambaye ni panya road wa Zambia...
wenye akili ni wawili tuu huko
Aliyewaita mbumbumbu alitoka kunyea debe jela na mkamchagua kuwa kiongozi huko makoloniMzee baba hii kali sana....
Yani Yanga imefikiahatua ya kuajiri Panya road wa Zambia.... Aibu naona mimi
Point yako ni nini
Wenye akili timamu awawezi kuajiri mwizi kuwa ceo.Inahusiana vp na hoja iliyopo mezani?
Unaumia?tunawaonea huruma Vinyesi fc mtaibiwa mje hapa kulia lia nyie semeni amesafishwa... tabia yake ni mbaya hamtaki kusikia
Thibitisha wizi wakeWenye akili timamu awawezi kuajiri mwizi kuwa ceo.
Soma sifa za mwobaji kazi utapata point yanguPoint yako ni nini