Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Sipendi kwanini mnatuma jumbe zenu za matangazo kwenye simu yangu? This is nonsense of first class leo nimeishapokea SMS 4 zenye Jumbe za kukera. Nadhani wanakata hela pia, mambo ya aibu haya sitaki kujua chochote kutoka kwenu Celtel mimi natumia line yenu ya simu kuwasiliana na ninawalipa. Zingatieni vigezo na masharti kwa watumiaji wa mtandao wenu. Ona hii meseji nimepokea leo
PiGA 0901004444 usikilize quran tukufu, Dua, Hadith, Mawaidha au uongee na sheikh moja kwa moja kwa Tsh 30 TU Kwa dakika.
Sitaki hizi propaganda ninajua wapi ninaweza wapata masheikh. Nimeongea na customer care wa Airtel they are simply hopeless hawana msaada
Stop this Airtel
Woz
PiGA 0901004444 usikilize quran tukufu, Dua, Hadith, Mawaidha au uongee na sheikh moja kwa moja kwa Tsh 30 TU Kwa dakika.
Sitaki hizi propaganda ninajua wapi ninaweza wapata masheikh. Nimeongea na customer care wa Airtel they are simply hopeless hawana msaada
Stop this Airtel
Woz