Niwahi kujibu kuwa cjatumwa na mtu yeyote. Hakuna kitu kibaya kabisa ktk maisha ya mwanadam km 'KUFISADI MAADILI' ya mtu au jamii. Jamii yetu imefisadiwa maadili lkn kwa mshangao mkubwa wanaojipambanua kuwa ni watetezi wa wanyonge km cdm, Kibamba, Nkya na wengineo hawazungumzii hl. Cwalaum sn kwani ufisadi mnaopigia kelele(maandamano) ndo mtaji wenu kisiasa. Nawaomba wahusika tumieni 'PEOPLE'S POWER' kuirudisha jamii ktk maadili ili tupate viongozi waadilifu vinginevyo ht huu ufisadi unaopigiwa kelele sio tu utatushnda bali utaongezeka maradufu coz watu hawana maadili mazuri. Nawasilisha hoja!!!