CDM hamuuoni ufisadi huu.

Kizibo255

JF-Expert Member
Jan 4, 2011
508
367
Niwahi kujibu kuwa cjatumwa na mtu yeyote. Hakuna kitu kibaya kabisa ktk maisha ya mwanadam km 'KUFISADI MAADILI' ya mtu au jamii. Jamii yetu imefisadiwa maadili lkn kwa mshangao mkubwa wanaojipambanua kuwa ni watetezi wa wanyonge km cdm, Kibamba, Nkya na wengineo hawazungumzii hl. Cwalaum sn kwani ufisadi mnaopigia kelele(maandamano) ndo mtaji wenu kisiasa. Nawaomba wahusika tumieni 'PEOPLE'S POWER' kuirudisha jamii ktk maadili ili tupate viongozi waadilifu vinginevyo ht huu ufisadi unaopigiwa kelele sio tu utatushnda bali utaongezeka maradufu coz watu hawana maadili mazuri. Nawasilisha hoja!!!
 
Niwahi kujibu kuwa cjatumwa na mtu yeyote. Hakuna kitu kibaya kabisa ktk maisha ya mwanadam km 'KUFISADI MAADILI' ya mtu au jamii. Jamii yetu imefisadiwa maadili lkn kwa mshangao mkubwa wanaojipambanua kuwa ni watetezi wa wanyonge km cdm, Kibamba, Nkya na wengineo hawazungumzii hl. Cwalaum sn kwani ufisadi mnaopigia kelele(maandamano) ndo mtaji wenu kisiasa. Nawaomba wahusika tumieni 'PEOPLE'S POWER' kuirudisha jamii ktk maadili ili tupate viongozi waadilifu vinginevyo ht huu ufisadi unaopigiwa kelele sio tu utatushnda bali utaongezeka maradufu coz watu hawana maadili mazuri. Nawasilisha hoja!!!

Hebu tuambie maadili mazuri ni yapi na mabaya ni yapi?
 
Kwani ccm hawaoni huo ufisadi unaouona?Si uwaambie wao na ndiyo chama chenye dola?CDM inahusikaje hapo?Msipende kutumiwa tumiwa tu na magamba mnajidharirisha bure,masaburi wewe.
 
Hebu tuambie maadili mazuri ni yapi na mabaya ni yapi?
napata mashaka na uwezo wa kufikiri wa baadhi ya watu. Hivi kweli ww huyajui maadili mazuri, kweli!!!!???? Ny ngoja nikukumbushe baadh tu. 1. Wasichana wasiva nguo fupi, suruali zinazoonyesha maumbile yao. 2. Kukomesha mashndano yote ya urembo. 3. Wanaume wasivae nguo za kike km comed na akina majuto. UPOOOO!!!
 
napata mashaka na uwezo wa kufikiri wa baadhi ya watu. Hivi kweli ww huyajui maadili mazuri, kweli!!!!???? Ny ngoja nikukumbushe baadh tu. 1. Wasichana wasiva nguo fupi, suruali zinazoonyesha maumbile yao. 2. Kukomesha mashndano yote ya urembo. 3. Wanaume wasivae nguo za kike km comed na akina majuto. UPOOOO!!!

Njaa na bia za ofa toka kwa Nape ni nomaaaaa
 
Kwani ccm hawaoni huo ufisadi unaouona?Si uwaambie wao na ndiyo chama chenye dola?CDM inahusikaje hapo?Msipende kutumiwa tumiwa tu na magamba mnajidharirisha bure,masaburi wewe.
kweli kuna watu VILAZA. Hivi cdm si ni chama kinachotegemea kushka dola? Mbona wanaandamana kupinga kuonewa na polisi kwan wao wanahusikaje??? Hivi wakishka dola wataongozaje taifa lisilo na maadili??? Acha -ve atitude kuwa mtu akiwakosoa cdm bac ametumwa. Km hv ndivyo basi na ww utakuwa umetumwa kukanusha. Natania tu, ila kweli nchi yetu imefika pabaya ki maadili. Ahsante kwa kunielewa
 
Njaa na bia za ofa toka kwa Nape ni nomaaaaa
cjawahi kuota achilia mbali kufikiria kunywa pombe. Lkn mbona hujibu hoja mnakimbilia kukashfu. Nafurahi kuona kuwa umesoma na kuelewa japo hampendi kuona upande wa pili wa pazia kuna nini.
 
napata mashaka na uwezo wa kufikiri wa baadhi ya watu. Hivi kweli ww huyajui maadili mazuri, kweli!!!!???? Ny ngoja nikukumbushe baadh tu. 1. Wasichana wasiva nguo fupi, suruali zinazoonyesha maumbile yao. 2. Kukomesha mashndano yote ya urembo. 3. Wanaume wasivae nguo za kike km comed na akina majuto. UPOOOO!!!

wewe vipi kukomesha wanaume kuvaa nguo za kike kama comed we wa wapi unaposema comed si tayari una jibu ina maaana hujui comed ni kitu gani wewe unafanana na wabunge wa magamba wanao piga kelele bugeni kuhusu comed ina maana hawajui comed ni nn
 
napata mashaka na uwezo wa kufikiri wa baadhi ya watu. Hivi kweli ww huyajui maadili mazuri, kweli!!!!???? Ny ngoja nikukumbushe baadh tu. 1. Wasichana wasiva nguo fupi, suruali zinazoonyesha maumbile yao. 2. Kukomesha mashndano yote ya urembo. 3. Wanaume wasivae nguo za kike km comed na akina majuto. UPOOOO!!!

Mbona hiyo ni kazi ya serikali? Umeishaiambia serikali? Sheria kuzuia baadhi ya unayosema zipo ila utekelezaji ndo mmbovu. Kama unataka chadema ifanye utakavyo isaidie iingie madarakani 2015, kwa sasa kuwa mpole, peleka hoja yako kwa chama tawala.
 
Back
Top Bottom