Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
== Kabla ya kuamua kuitupilia mbali hoja ya mgombea binafsi wa urais?
... waliogopa kuwepo watu waliomashuhuri na kuaminika kuweza kumpiku urais Mh. Kikwete?
... waliogopa kura kutawanyika sana na mmoja wa wapinzani angeliweza kushinda uchaguzi?
== Kabla ya Chadema kumteua Mh. Slaa kuwawakilisha kwenye kiti cha urais?
... walijua ni Ndg. Mbowe ndiye atakaye wawakilisha Chadema?
... walidhani Mh. Slaa hatokubali kupoteza kiti chake cha ubunge kwa kimbilio la urais?
Naomba mnisaidie kuyajibu haya, ahsanteni.
Steve Dii
... waliogopa kuwepo watu waliomashuhuri na kuaminika kuweza kumpiku urais Mh. Kikwete?
... waliogopa kura kutawanyika sana na mmoja wa wapinzani angeliweza kushinda uchaguzi?
== Kabla ya Chadema kumteua Mh. Slaa kuwawakilisha kwenye kiti cha urais?
... walijua ni Ndg. Mbowe ndiye atakaye wawakilisha Chadema?
... walidhani Mh. Slaa hatokubali kupoteza kiti chake cha ubunge kwa kimbilio la urais?
Naomba mnisaidie kuyajibu haya, ahsanteni.
Steve Dii