kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wazazi ya Sangu ilyoko Mbeya wamelalamikia CCM kuwalazimisha kushiriki kwenye maandamano yao yatakayofanyika leo huko Mbeya.
Chanzo: Nipashe.
CCM nawashauri muwaache wananchi washiriki kwenye maandamano kwa hiari yao kwama kweli wanaguswa na hicho mnachotaka kuwaambia. Kama hamna jipya acheni kusumbua watu na muaache watoto wasome. wanafunzi wenyewe mmewanyima waalimu acheni watumie muda mwingi kujisomea wenyewe.
Nape usije hapa kutudanganya kwamba mnaungwa mkono wakati mnalazimisha watu kuandamana, aibu!
Chanzo: Nipashe.
CCM nawashauri muwaache wananchi washiriki kwenye maandamano kwa hiari yao kwama kweli wanaguswa na hicho mnachotaka kuwaambia. Kama hamna jipya acheni kusumbua watu na muaache watoto wasome. wanafunzi wenyewe mmewanyima waalimu acheni watumie muda mwingi kujisomea wenyewe.
Nape usije hapa kutudanganya kwamba mnaungwa mkono wakati mnalazimisha watu kuandamana, aibu!