DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Dakika hii nguvu ya umma imelizingila pagala moja mjini kiwira huku ndani kukiwa na wakina mama walio kusanywa kutoka sehemu mbalimbali ili kupokea rushwa laki baadhi yao walitoa taarifa kwa wanachadema na mpaka sasa jengo lipo chini ya ulinzi wa chadema na polisi. Hapa ni kata ya kiwira mbeya.