Ndekirhepva
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 371
- 44
katika ile hali ya kujiweka sawa na kuimarisha chama, ccm wamekuja na mbinu mpya ya kutaka kurudisha imani ya chama chao iliyopotea mbele ya wana nchi, kila mbunge wa ccm awe wa kuchaguliwa, awe wa kuteuliwa, naona wanaanza/kumaliza hoja kwa kukiponda chama kikuu cha upinzani, mtazamo wangu naona hii ni ajenda na mbinu waliyojizatiti kuingia nayo kwenye bunge hili ili angalao kupunguza nguvu ya chadema.
pia kama alivyosema Mh Mnyika kuwa JK ni mzembe, kwani ni uongo????
ni mtazamo wangu wadau
pia kama alivyosema Mh Mnyika kuwa JK ni mzembe, kwani ni uongo????
ni mtazamo wangu wadau