Ufisadi,mgawanyiko wa chama,kilio cha walala hoi,uhaba wa madarasa na madawati,huduma mbovu za Hospitalini,migomo ya wafanyakazi wa idara mambimbali,mauwaji ya raiya wasio na hatia,migomo na maandamano ya waislamu,kugomea sensa na kutumia nguvu kubwa kuhamasisha wananchi kujitokeza katika zoezi la kujiandikisha kwenye zoezi la sensa,udini yote haya yanatokana na sera na uwajibikaji mbovu wa CCM.CCM iliyopo si ile aliyoiacha mwalimu.Kwahiyo kutumia nguvu ya mihimili ya dola kama mahakama na polisi ni ishara tosha kabisa ya kuwa CCM haina tena mvuto wala ushawishi.Jitafakari chukua hatua bado unaonyesha kama unauhai kiasi fulani kwa wale ambao bado hujawatenda.