CCM Ukoo wa Panya: Ufisadi Unaotisha Ndani ya TANESCO...!

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Watanzania wanalazimishwa kuwa gizani na Mafisadi na Symbion wanaolipwa USD .42cents kila unit. Badala ya kukabiliana na matatizo ya Watanzania kama swala la umeme, CCM inajikita kwenye mambo ya kipuuzi ya kumtetea Zitto. Mgao wa umeme ni wa kutengenezwa na mafisadi ya CCM. Mafisadi na symbion Wamezima Mitambo Makusudi ili waongezewe fedha……

Sinema ndio inaanza. Huu ni mnyukano kati ya Generali Mboma na Katibu mkuu Maswi kuhusiana na Ufisadi wao.......Generali mboma anajitengenezea vikao 84 vya bodi kwa mwaka mmoja.

CCM Hoyeee........!!!!
Muhongo Hoyeeeeeee.....!!!!!!!



Mods: Mara nyingi tukiweka taarifa mnanyofoa, tafadhalini kwa maslahi ya umma, watanzania wajue ufisadi wa CCM. Habari zetu ni za ndani kweli. Mengi yasiwe na nyaraka kama hizi, lakini ni mambo ya ukweli
 
Watanzania wanalazimishwa kuwa gizani na Mafisadi na Symbion wanaolipwa USD .42cents kila unit. Badala ya kukabiliana na matatizo ya Watanzania kama swala la umeme, CCM inajikita kwenye mambo ya kipuuzi ya kumtetea Zitto. Mgao wa umeme ni wa kutengenezwa na mafisadi ya CCM. Mafisadi na symbion Wamezima Mitambo Makusudi ili waongezewe fedha……

Sinema ndio inaanza. Huu ni mnyukano kati ya Generali Mboma na Katibu mkuu Maswi kuhusiana na Ufisadi wao.......

CCM Hoyeee........!!!!
Muhongo Hoyeeeeeee.....!!!!!!!

Mods: Mara nyingi tukiweka taarifa mnanyofoa, tafadhalini kwa maslahi ya umma, watanzania wajue ufisadi wa CCM. Habari zetu ni za ndani kweli. Mengi yasiwe na nyaraka kama hizi, lakini ni mambo ya ukweli

kwahiyo hapa ndo umeandika Breaking News na kuwatahadharisha mods wasiondoe taarifa yako? kweli safar bado ndefu sana_inawezekana una point nimeshindwa kuielewa lakin sijui, ngoja wenye uelewa mzuri waje
 
tatizo kubwa liloko Tz ni kwamba watu hawajielewi kabisa
Ufisadi unaofanyika tz ni zaidi tujuavyo
Ndo maana hata tukiwa huku nje ukisema umetoka Tz wanakudharau na kuangalia pembeni as if umetoka kwenye nchi ya kukwapua
Nilishangazwa sana wakati Rais wa nchi alipokwenda kufungua mitambo ile ile ya Richmond iliyompelekea Wasiri mkuu Lowassa kujiuzulu
Hapa kuna mambo mengi ya watz kujiuliza
Watz tuamke tusiwatetee hawa mafisadi huku Jf na kwingineko
Nilishaandika hapa na hapa narudia tena Tz itaenda kuzimu sasa hivi
Wananchi wa kima cha chini na wale maskini wa kutupwa ni wengi mno itafikia mahali watachoka wataingia barabarani
Hapa ni swala la muda tuu watu hawawezi kuteseka hivi hili hali tuna rasilimali kiasi hiki
Shame on u maccm
 
Hapa ni full ubaguzi, post za kichadema zinaachwa ziendelee.
ukitaka post yako iondolewe, basi iponde CHADEMA!!!!
TUTABANANA HAPA HAPA!!
 
Hii nchi inawaliwa zaidi ya wengi wanavyofikiri. Nashangaa akili za watu wanaotetea madudu yanayofanywa na serikali. Ukiona na kusikia jinsi gani nchi zilizoendelea viongozi wanavyowajibika au kuwajibishwa alafu Tanzania unasikia story za akina Kapuya na bado wanaendelea kuwa wabunge, kweli inatia kichevuchevu na kuona aibu kusema unatoka Tanzania
 
Kwa ufisadi huu ni kweli CCM hawawezi kujivua lawama. Kwa Kuwa wanapenda kusaidiwa kwa urefu wa barabara za rami, iwe hivyo hivyo wanapoonyesha uzembe.

Nampongeza aliyeleta viambatanisho Hivi. JF tunataka ushahidi Kama huu. Kwa wachambuzi, Hebu angalia upuuzi wa matumizi mbaya ya lugha anayotoa Katibu mkuu. Lugha chafu na hasara kubwa. Angalia maelezo ya mkuu wa bodi. Naye anaandika makosa mengi hata neno gas linaandikwa ges Mara kadhaa. Mpangilio w Maneno pia ni Kama anafaa ya mazungumzo ya Ana kwa Ana!

Bwana huyu sijui kwa nini anadhani Kuwa mkuu wa majeshi basi ni sifa ya Kuwa mkuu wa taasisi zinging pia!

Hii ni nchi bomu. Hakuna ajuwaye la kuifanya zaidi ya wizi tu.
 
tUPO UCHI SASA.

niliwahi kusema kuwa watanzania wamelala usingizi wakifikiri kuna uongozi na kumbe nchi tayari iko uchi,haina mwenyewe.Walioko madarakani ni wajasiriamali na wahuni tu,hamna kiongozi!Tungekuwa na uongozi tusingeendeshwa kihuni hivi!hebu angalia tangu biashara ya drugs ivurugike,mitaani kote hela imepotea kabisa!hii inaonyesha drugs ndio uti wa mgongo wa uchumi wetu.CCM ilitekwa na wachumia tumbo siku nyingi sana watu hawajui tu.We angalia mambo haya yote halafu tafakari uone,je kuna serikali kweli,au wahuni tu?nijiondokee zangu mie nasikia hasira kweli na mambo haya halafu thread kama hii hadi sasa ina wachangiaji kumi tu,nenda kule kwa Zitto,uone kinachoendelea.Jamiiforums inatuakisi vizuri sana watanzania,watu wanalalamika humu kwa kuwa hawako kwenye system,wakiingizwa mwendo ni ule ule,nani wa kuikoa Tanzania zaidi ya Mungu mwenyewe?!hamna manake hata maskini anayeonewa hana mpango wa kudai haki yake!bogus Tanzanians!nawatukana kwa jina la mwalimu Nyerere,watanzania ni wajinga kabisa"!stupid,stupid,stupid!
 
niliwahi kusema kuwa watanzania wamelala usingizi wakifikiri kuna uongozi na kumbe nchi tayari iko uchi,haina mwenyewe.Walioko madarakani ni wajasiriamali na wahuni tu,hamna kiongozi!Tungekuwa na uongozi tusingeendeshwa kihuni hivi!hebu angalia tangu biashara ya drugs ivurugike,mitaani kote hela imepotea kabisa!hii inaonyesha drugs ndio uti wa mgongo wa uchumi wetu.CCM ilitekwa na wachumia tumbo siku nyingi sana watu hawajui tu.We angalia mambo haya yote halafu tafakari uone,je kuna serikali kweli,au wahuni tu?nijiondokee zangu mie nasikia hasira kweli na mambo haya halafu thread kama hii hadi sasa ina wachangiaji kumi tu,nenda kule kwa Zitto,uone kinachoendelea.Jamiiforums inatuakisi vizuri sana watanzania,watu wanalalamika humu kwa kuwa hawako kwenye system,wakiingizwa mwendo ni ule ule,nani wa kuikoa Tanzania zaidi ya Mungu mwenyewe?!hamna manake hata maskini anayeonewa hana mpango wa kudai haki yake!bogus Tanzanians!nawatukana kwa jina la mwalimu Nyerere,watanzania ni wajinga kabisa"!stupid,stupid,stupid!

Ukoo wa CCM ni wa kunyonga tu . Hakuna kingine. Mgao kumbe wametengeneza?
 
Sasa huyo aliesema 84. Na sio thelasini na ni nani? Kama weye wa ndani tuambie basi?
 
Sasa wewe juve 2012 wataka sie tuchangie habari ya umeme umeme je hujui wengine tuko kijijini ambako kwa kiasi kikubwa umeme sisi kuupata ni ndoto ingawa ni wa mhimu viwandani!
 
Ninachoona hapa ni kuwa Katibu mkuu ana taarifa kuwa bodi imekaa vikao 84, kumbe bodi imekaa vikao 32. Hii ina maana kuna mtu anataka kuzipiga ela za vikao 52...

Katibu mkuu hebu fuatilia...
 
Kwa ufisadi huu ni kweli CCM hawawezi kujivua lawama. Kwa Kuwa wanapenda kusaidiwa kwa urefu wa barabara za rami, iwe hivyo hivyo wanapoonyesha uzembe.

Nampongeza aliyeleta viambatanisho Hivi. JF tunataka ushahidi Kama huu. Kwa wachambuzi, Hebu angalia upuuzi wa matumizi mbaya ya lugha anayotoa Katibu mkuu. Lugha chafu na hasara kubwa. Angalia maelezo ya mkuu wa bodi. Naye anaandika makosa mengi hata neno gas linaandikwa ges Mara kadhaa. Mpangilio w Maneno pia ni Kama anafaa ya mazungumzo ya Ana kwa Ana!

Bwana huyu sijui kwa nini anadhani Kuwa mkuu wa majeshi basi ni sifa ya Kuwa mkuu wa taasisi zinging pia!

Hii ni nchi bomu. Hakuna ajuwaye la kuifanya zaidi ya wizi tu.
Kitu ambacho huwa kinanishangaza ni pale wazee waliostaafu wanapotafutiwa kazi katika bodi mbali mbali za mashirika ya umma kwa mlengo wa kisiasa na siyo utalaamu katika fani inayohusika na uendeshaji wa shirika.

Generali mstaafu wa majeshi wapi wapi na mambo ya bodi ya wakurugenzi wa shirika la umeme Tanzania (TANESCO). Hata kama siyo mfisadi lakini kitu kinachotakiwa ni uwezo wake katika kupambana na changamoto zilizopo na zile zinazokuja katika shirika analolisimamia.

Huu uteuzi alifanya na Ex Minister wa Nishati na Madini William Ngereja 2011 na kama tunavyofahamu nini kilitokea baadaye.

Hebu angalieni wajumbe wake wengine na mniambie upeo wao katika kulisukuma mbele shirika la TANESCO ili kukabiliana na ongezeko la utumiaji wa umeme nchini.
Bw. Baruany Elijah A. T. Luhanga
Bw. Ridhiwan Ali Masudi
Bw. Leonard R. Masanja
Bw. Vintan W. Mbiro
Bw. Beatus P. Segeja
Bw. Hassan Ally Mbaruk
Mhe. Victor K. Mwambalaswa (Mb.)
Bw. Abdul Ibrahim Kitula

Are they really up the job?.

Mpaka hapo siasa zitakapo tofautishwa na taaluma zingine, Tanzania tutaendelea kupiga hatua za Military mark time kama ilivyo fani yake Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa TANESCO.
 
Ccm imejikita kwenye suala la zitto ambalo ni moja ya ilani Yao kuvunja upinzani suala la Umeme halipo kwenye ilani ya ccm
 
Kitu ambacho huwa kinanishangaza ni pale wazee waliostaafu wanapotafutiwa kazi katika bodi mbali mbali za mashirika ya umma kwa mlengo wa kisiasa na siyo utalaamu katika fani inayohusika na uendeshaji wa shirika.

Generali mstaafu wa majeshi wapi wapi na mambo ya bodi ya wakurugenzi wa shirika la umeme Tanzania (TANESCO). Hata kama siyo mfisadi lakini kitu kinachotakiwa ni uwezo wake katika kupambana na changamoto zilizopo na zile zinazokuja katika shirika analolisimamia.

Huu uteuzi alifanya na Ex Minister wa Nishati na Madini William Ngereja 2011 na kama tunavyofahamu nini kilitokea baadaye.

Hebu angalieni wajumbe wake wengine na mniambie upeo wao katika kulisukuma mbele shirika la TANESCO ili kukabiliana na ongezeko la utumiaji wa umeme nchini.
Bw. Baruany Elijah A. T. Luhanga
Bw. Ridhiwan Ali Masudi
Bw. Leonard R. Masanja
Bw. Vintan W. Mbiro
Bw. Beatus P. Segeja
Bw. Hassan Ally Mbaruk
Mhe. Victor K. Mwambalaswa (Mb.)
Bw. Abdul Ibrahim Kitula

Are they really up the job?.

Mpaka hapo siasa zitakapo tofautishwa na taaluma zingine, Tanzania tutaendelea kupiga hatua za Military mark time kama ilivyo fani yake Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa TANESCO.
Ni kweli kunahitajika weledi wa sekta husika ili kuteuliwa kwenye Bodi. Nafikiri ingekuwa vyema nafasi zingetangazwa na watu waombe, wachujwe, wasailiwe na wenye kushinda wapewe nafasi. Sahihisho kidogo. Mwenyekiti wa Bodi ya Tanesco huteuliwa na Rais. Waziri ana mamlaka ya kuwateua wajumbe tu.
 
Back
Top Bottom