JOB SEEKER
Senior Member
- Aug 1, 2011
- 145
- 33
CCM UDINI ,HAUTASAIDIA KUKWAMISHA MABADILIKO ARUMERU MASHARIKI !!
mchezo unaofanywa na viongozi wa CCM ambao wameanza kuitisha vikao na viongozi wa makanisa wakitaka kuungwa mkono walau kwa muda huu wa miaka mitatu uliobakia kabla ya uchaguzi mkuu.
Tarehe 27 mwezi wa pili Mwigulu Nchemba ambaye ndiye mratibu wa kampeni za CCM hapa Arumeru alivamia kikao cha wachungaji na wakuu wa majimbo wa K...anisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania bila kualikwa, wengine waliokuwepo pale wakahoji juu ya uwepo wake katika mkutano huo, eti akawaambia yeye ni Mlutheri mzuri ameguswa kusikia mkutano huo, akaomba augharamie, akatoa fedha pale kama milioni mbili na zaidi.
SOURCE : TANZANIA DAIMA
Juzi tena wameamua kuwaita wachungaji karibu 120 wa makanisa ya Kipentekoste, wanaomba, wanakiri kuwa chama chao kinakufa, lakini wakaomba watumishi wa Mungu hao washawishi waumini wao waichague CCM walau kwa miaka hii mitatu iliyobaki kabla ya uchaguzi mkuu hii ndiyo tabia yao maana Igunga waliona watu wengi ni Waislamu wakatumia dini ya Kiislamu, sasa wameona Meru wengi ni Wakristo wanaanza kuwafuata Wakristo,
mchezo unaofanywa na viongozi wa CCM ambao wameanza kuitisha vikao na viongozi wa makanisa wakitaka kuungwa mkono walau kwa muda huu wa miaka mitatu uliobakia kabla ya uchaguzi mkuu.
Tarehe 27 mwezi wa pili Mwigulu Nchemba ambaye ndiye mratibu wa kampeni za CCM hapa Arumeru alivamia kikao cha wachungaji na wakuu wa majimbo wa K...anisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania bila kualikwa, wengine waliokuwepo pale wakahoji juu ya uwepo wake katika mkutano huo, eti akawaambia yeye ni Mlutheri mzuri ameguswa kusikia mkutano huo, akaomba augharamie, akatoa fedha pale kama milioni mbili na zaidi.
SOURCE : TANZANIA DAIMA
Juzi tena wameamua kuwaita wachungaji karibu 120 wa makanisa ya Kipentekoste, wanaomba, wanakiri kuwa chama chao kinakufa, lakini wakaomba watumishi wa Mungu hao washawishi waumini wao waichague CCM walau kwa miaka hii mitatu iliyobaki kabla ya uchaguzi mkuu hii ndiyo tabia yao maana Igunga waliona watu wengi ni Waislamu wakatumia dini ya Kiislamu, sasa wameona Meru wengi ni Wakristo wanaanza kuwafuata Wakristo,