CCM ni Janga la Taifa

Msema hovyo

Senior Member
Jul 3, 2011
195
86
Nionavyo Msema hovyo, ni kwamba matatizo mengi yanayoikabili nchi na kusababisha vifo visivyo vya lazima hivi sasa yametokana na CCM. Ajali, umeme, foleni, afya, maji, elimu, uchumi nk, ambavyo vyote kwa pamoja vinapelekea maisha magumu ya watanzania na kuwasababishia vifo vya mara kwa mara vikiwemo vya polisi kuua raia, vinasababishwa na CCM. Hivyo yafaa tuitangaze CCM kama janga la Taifa, na mikakati ianze kulimaliza janga hili.
 
Ni
Nionavyo Msema hovyo, ni kwamba matatizo mengi yanayoikabili nchi na kusababisha vifo visivyo vya lazima hivi sasa yametokana na CCM. Ajali, umeme, foleni, afya, maji, elimu, uchumi nk, ambavyo vyote kwa pamoja vinapelekea maisha magumu ya watanzania na kuwasababishia vifo vya mara kwa mara vikiwemo vya polisi kuua raia, vinasababishwa na CCM. Hivyo yafaa tuitangaze CCM kama janga la Taifa, na mikakati ianze kulimaliza janga hili.
Ni adui wa taifa
 
Back
Top Bottom