jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
lazima chama tawala ccm kiendelee kushinda tena kwa ushindi wa kishindo kwa kuwa mbinu zake na sera zake zinalenga wakulima ambao ni zaidi ya 70% ya watanzania.naipongeza ccm kwa kuendelea kuwajali wakulima hata kama hawajafaidika kimaisha lakini wanaona mwanga bora wakiichagua ccm.cdm endeleeni kukumbatia wahuni,wafungwa na wapiga debe wa stand ambao hawafiki hata asilimia 5 ya wapiga kura.