tanira1
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 942
- 159
ccm haina pakushika sasa wanafikiri kitu pekee kitakacho waokoa wakati huu ni ujenzi wa daraja la kigamboni wanasahau kuwa kigamboni sio tanzania kibaya zaidi wanatumia fedha walizokwapua kwa walala hoi za nssf kwa kuwalazimisha kutochukua mpaka wafikishe miaka 55 wakijua fika kwa hali hii mbaya tuliyonayo wengi wetu hatuwezi kufika huko na kwa ajili hiyo ni rahisi kudhurumu wafiwa hakika ccm nawaambia kama hamjaambiwa daraja la kigamboni mnataka kulitumia kwenye campaign mwaka 2015 halitawasaidia watanzania wote wanajua kila move yenu wachache niliokutana nao leo wanasema daraja litakwisha wakati huo nakuanza kunadi si mmeona dar kama newyork tupeni mingine kumi iwe kama hongkong tiyari wameshatabili mtakalokuja nalo mmekwisha hamtoki kudadadeki