saitama_kein
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 981
- 99
MWENYEKITI wa UVCCM, Hamad Masauni Yussuf, anadaiwa kughushi cheti cha kuzaliwa kwa lengo la kudanganya umri ili aweze kupata nafasi ya uongozi.
Anamiliki cheti cha kuzaliwa bandia chenye namba E. 00023509 kilichotolewa Juni 15, 2007 na kuonyesha kwamba amezaliwa Oktoba 3, 1979.
KUMBE
Detail toka Pasi ya kusafiria ya Januari 28, 2005 zina maelezo kwamba alizaliwa Oktoba, 1973.
KATIBA YA CCM: Nitasema ukweli daima, fitina kwangu ni mwiko!!
::KICHEKESHO::
Source: Tanzania daima
Anamiliki cheti cha kuzaliwa bandia chenye namba E. 00023509 kilichotolewa Juni 15, 2007 na kuonyesha kwamba amezaliwa Oktoba 3, 1979.
KUMBE
Detail toka Pasi ya kusafiria ya Januari 28, 2005 zina maelezo kwamba alizaliwa Oktoba, 1973.
KATIBA YA CCM: Nitasema ukweli daima, fitina kwangu ni mwiko!!
::KICHEKESHO::
Source: Tanzania daima