mimi kuna swala moja najiuliza,hivi ccm bila wasanii mikutano yao wangemhutubia nani?
Hivi ccm hawaoni kuwa uhalali wao wa kuitawala hii nchi umefika ukingoni?
Maana kama unataka kuwa rais wa nchi"kama magufuli"na ukiitisha mkutano kuongea na wananchi hawaji kukusikiliza na hustuki tu kuwa hawakupendi ni upofu kibri au laana?
Mi nadhani ni vema wapambe wa magufuli wamweleze ukweli kuhusu ile mikutano yake,asije juwa anapendwa kumbe watu wamefuata burudani ya bure na kubebwa na mafuso.
Asipoelezwa ukweli upo uwezekano akashindwa uchaguzi na kung'ang'ania ushindi kwa upotoshwaji anaofanyiwa na wapape wake.na nchi ikaingia kwenye mtafaruku.
Ni bora mumweleze ukweli ajiandae kisaikolojia.
Kibo 10 jina lako linajieleza kuwa wewe ni wa wapi?watu wa mkoa huo tabia zenu tunazijua,tukiwakabidhi nchi sijui kama mtabakisha raslimali hata moja
Kibo 10 jina lako linajieleza kuwa wewe ni wa wapi?watu wa mkoa huo tabia zenu tunazijua,tukiwakabidhi nchi sijui kama mtabakisha raslimali hata moja
Msibaki na historia, lowasa moto wa mabua, hayo mabomu ya udini yanayoibuliwa yanambomoa kwa kiwango kikubwa. Inabidi mmwambie ukweli akiendelea kujipa matumaini hewa atarest in peace sababu ya mshtuko wa kushindwa
Wanaweka mbele sana ukabila,ukanda na udini hata kwenye mambo ya msingi kabisa. Sijui wakipewa nchi watu wengine wataishi vipi? Mmakonde, Mngindo, Mpogoro au Mzaramu asije akategemea kupewa ajira katika kitengo cha shirika ambalo lina boss wa kutoka huo ukanda hata kama ana vigezo.
Ukisema haya, watajitetea kuwa wao tu ndio waliosoma zaidi kwa hiyo ni automatic wao kupewa ajira kabla ya wengine kutokana na wengi wao kuwa na vigezo zaidi kuliko watu kutoka maeneo mengine.
Ndio maana wavivu wengi, mabwanyenye, watoto wa mama kutoka familia fulani zilizo na uwezo fulani, matajiri waliofilisika au ambao biashara zao zinapumulia gesi, kundi la watu wanaotumainia vyeo na madaraka makubwa na watu wenye character kama hizo kutoka ukanda huo wako nyuma ya Lowassa kwa matarajio kuwa watapata nafasi ya kupiga dili zaidi na kuwa marais wadogo na kudumisha mfumo wao wa kubebana.
Kikwete anamuandaa kisaikolojia kuchukua madaraka
Mkuu mimi ni Mzaramo na ni mwana mageuzi kwahiyo hoja yako hii baki nayo kichwani mwako. Habari za Ukanda, udini na ukabila ni habari zenu ambazo hazita badilisha vuguvugu la kuleta mabadiliko ya kimaendeleo ndani ya nchi hii. Mmezoa kuwa mabwenyenye mkifikiri kila mtanzania ni mwenye kuhitaji kuishi katika hali hiyo. Kuwa tayari kutokuamini kinachokuja kutokea. Then utakuja na hizo hoja zako kama Rais atakuwa kachaguliwa na kanda moja tu au lah.
Mimi kuna swala moja najiuliza,Hivi Ccm bila wasanii mikutano yao wangemhutubia nani?
Hivi Ccm hawaoni kuwa uhalali wao wa kuitawala hii nchi umefika ukingoni?
Maana kama unataka kuwa rais wa nchi"Kama Magufuli"na ukiitisha mkutano kuongea na wananchi hawaji kukusikiliza na hustuki tu kuwa hawakupendi ni upofu kibri au laana?
Mi nadhani ni vema wapambe wa Magufuli wamweleze ukweli kuhusu ile mikutano yake,Asije juwa anapendwa kumbe watu wamefuata burudani ya bure na kubebwa na mafuso.
Asipoelezwa ukweli upo uwezekano akashindwa uchaguzi na kung'ang'ania ushindi kwa upotoshwaji anaofanyiwa na wapape wake.Na nchi ikaingia kwenye mtafaruku.
Ni bora mumweleze ukweli ajiandae kisaikolojia.
Hawa chi-chi-M wanahangaika tu Lowassa ndio raisi wa awamu 5