Vilikuwa haviko organised kama CCM. Pamoja na mapungufu yake bado CCM ni mfano wa chama bora chenye mizizi kuanzia ngazi ya chini sana. Kanisa Katoliki na CCM ndo taasisi zenye mifumo imara zaidi hapa nchini. Na hata CCM kikiwa nje ya uongozi kitaendelea kuwa chama tawala huku CHADEMA kikiendelea kuwa chama cha upinzani huku kikiwa madarakani.Hata KANU,ZPP,vilikuwa vikubwa na tishio barani Africa
Ila kuna kaujasiri kamejengeka,tofauti na hapo zamani,anatakiwa wa kuliwasha tuTatizo sisi wabongo ni kunguru wakutupwa labda wajukuu zetu watakujaga kuwa makamanda asee
Nikwambie tu CCM wepesi sana,tatizo watanzania ni waoga kwa asili yaoVilikuwa haviko organised kama CCM. Pamoja na mapungufu yake bado CCM ni mfano wa chama bora chenye mizizi kuanzia ngazi ya chini sana. Kanisa Katoliki na CCM ndo taasisi zenye mifumo imara zaidi hapa nchini. Na hata CCM kikiwa nje ya uongozi kitaendelea kuwa chama tawala huku CHADEMA kikiendelea kuwa chama cha upinzani huku kikiwa madarakani.
Ni wewe umeyalaSijui ni wewe uliyekula maharage yasiyoeleweka au ni mimi ndio nimeyala
Sio hivyo unavyofikiri. Hakuna mwenyekiti wa CCM aliyewahi kupitisha mgombea wake wa Urais kibabe kama ilivyo CHADEMA na Mbowe. Hii ni kwasababu CCM inaheshimu sana katiba yake. Ogopa chama kinachoheshimu katiba yake.Nikwambie tu CCM wepesi sana,tatizo watanzania ni waoga kwa asili yao
Hakuna cha CCM organised wala nini
Sio hivyo unavyofikiri. Hakuna mwenyekiti wa CCM aliyewahi kupitisha mgombea wake wa Urais kibabe kama ilivyo CHADEMA na Mbowe. Hii ni kwasababu CCM inaheshimu sana katiba yake. Ogopa chama kinachoheshimu katiba yake.
Magufuli 2015 alipata kura chache kuliko Mgombea yoyote wa CCM aliipa chati gani?CCM enzi za Jakaya Kikwete kuvaa sare za chama ilikuwa fedheha sana.
Chuma, Hayati Magufuli aliposhika kijiti chama kilipata Imani a heshima kubwa sana toka kwa wananchi,sasa awamu ya sita ya Samia imeamua kwa makusudi kuturejesha kulekule kwa kuvalia jezi za CCM mkutanoni ,kisha baada ya mikutano kuzivua
Mmezoea kushinda kwa hila,safari hii hapatatosha,ujasiri mkubwa kwa wananchi umeongezeka dhidi ya kupambana na dhulma na uonevu
Yangu ni hayo
CCM enzi za Jakaya Kikwete kuvaa sare za chama ilikuwa fedheha sana.
Chuma, Hayati Magufuli aliposhika kijiti chama kilipata Imani a heshima kubwa sana toka kwa wananchi,sasa awamu ya sita ya Samia imeamua kwa makusudi kuturejesha kulekule kwa kuvalia jezi za CCM mkutanoni ,kisha baada ya mikutano kuzivua
Mmezoea kushinda kwa hila,safari hii hapatatosha,ujasiri mkubwa kwa wananchi umeongezeka dhidi ya kupambana na dhulma na uonevu
Yangu ni hayo
Ni aibu tupuCCM enzi za Jakaya Kikwete kuvaa sare za chama ilikuwa fedheha sana.
Chuma, Hayati Magufuli aliposhika kijiti chama kilipata Imani a heshima kubwa sana toka kwa wananchi,sasa awamu ya sita ya Samia imeamua kwa makusudi kuturejesha kulekule kwa kuvalia jezi za CCM mkutanoni ,kisha baada ya mikutano kuzivua
Mmezoea kushinda kwa hila,safari hii hapatatosha,ujasiri mkubwa kwa wananchi umeongezeka dhidi ya kupambana na dhulma na uonevu
Yangu ni hayo
Hakuna kugawana mbao CCM ni chama kikubwa!
Wewe ndo uansema hayo ila ukweli una baki baki pale pale kuwa Magufuli alikuwa anapendwa na watanzania wengiAcha kumsifia magufuli ndiye worst President this country has never had na tusiombe Mungu kupata dicteta,asiejali haki za watu wengine za kuishi ili matakwa yake yakamilike tafathali toa mfano mwengine lakini si magufuli.
Watanzania walimpenda sana kiongozi yule,halina ubishiWewe ndo uansema hayo ila ukweli una baki baki pale pale kuwa Magufuli alikuwa anapendwa na watanzania wengi
Umesoma makala yangu,umeshindwa elewa,matokeo yake umekurupuka kujibu,hili ndio tatizo kuu kwenye hii nchi,mikurupukoMagufuli 2015 alipata kura chache kuliko Mgombea yoyote wa CCM aliipa chati gani?
Magufuli hakuuza nchi.Unaongelea rais Magufuli vs Dr Samia?
Samia is far better in any way.
Magufuli aliibeba CCM 2015 iliokuwa imetepeta.Magufuli 2015 alipata kura chache kuliko Mgombea yoyote wa CCM aliipa chati gani?
Ulizia vyama vikubwa afrika vilivyorudishwa jikoni kupikia wageni.tutawafundisha adabu JPM alitufumbua macho juu ya janja janja ya nyoka wa kijani.Hakuna kugawana mbao CCM ni chama kikubwa!
Kuwa na wanachama wa aina mbalimbali
Kila siku siyo jumapiliHakuna kugawana mbao CCM ni chama kikubwa!