satellite
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 616
- 164
Kauri ya mbunge wa Arumeru mashariki imewafanya CCM wafufuke km vile walikua kwenye mapango,kuna kashfa nyingi na tuhuma nyingi zinawakabili mawaziri wao na bunge lilifikia hadi hatua ya kupiga kura ya kutokua na imani na waziri mkuu kwa kushindwa kuwawajibisha mawaziri,swali najiuliza mbona walikua kimya kufanya maandamano na kuwakemea waharibu?leo wanajifanya kauli ya mbunge wa CDM inawauma na kufanya maandamano yasiyo na tija.CCM achane unafiki muwe fair kwa kila tukio mnaingia mitaani sio chadema wakikosea ndo mnaingia mitaani