googlel2015
Member
- Aug 25, 2015
- 18
- 4
Tetty ccm ina mchango mkubwa sana kwenye woga wa watanzania, wamefanya mbinu nyingi chafu sana vikiwemo vitisho na mauaji, mateso na ulaghai kuweza kubaki madarakani
Nyuma ya ccm kuna kundi kubwa sana la kinachoitwa NCHI RAFIKI hawa wana maslahi makubwa sana, wanafaidi rasilimali zetu kupitia ccm, hawa ndio vinara wa kutoa mamilioni ya dola na support ya kila aina ili ccm ibaki madarakani wahindi na Wachina huwaambii kitu kuhusu ccm
Ni kweli hiki chama kimefanya watanzania tuwe waoga total ndio maana tunashidwa kutetea rasilimali zetu. nipo maeneo ya vijijini kusini huku yani hakuna redio inayoshika kabisa watu elimu ya uraia hakuna na hii ni plan kwa CCM kupata kura kiraisi kwa kuwapa pombe na nyama tuu
Last edited by a moderator: