Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Jamani sijui nakosea am a la
yaani kuna huyu ant jaman nimekuwa nikisikiliza mikutanio yake yaani sijui nasema
na ashukuru amepita kwenye chama cha ccm else uchaguzi ungekuwa mgumu maisha upande wake..anyway najua kupita atapita lakini dada yetu hata kujieleza mwenyewe awezi sasa najiuliza hivi huko bungen ataimba mipasho ama lah
nikiangalia kwa sura kajitahidi kujichubua lakini sijui ana malengo gani kuingia siasa unajua kule dodoma kuna kazi nyingi sana wengine wana kazi maalum kuwepo mjengoni so sitshangaa akiwa mmoja wao...anyway nakutakia la kheri mama ila jitahd ukiwa na familia ujileeze kabla ya kuja kwa watu
yaani kuna huyu ant jaman nimekuwa nikisikiliza mikutanio yake yaani sijui nasema
na ashukuru amepita kwenye chama cha ccm else uchaguzi ungekuwa mgumu maisha upande wake..anyway najua kupita atapita lakini dada yetu hata kujieleza mwenyewe awezi sasa najiuliza hivi huko bungen ataimba mipasho ama lah
nikiangalia kwa sura kajitahidi kujichubua lakini sijui ana malengo gani kuingia siasa unajua kule dodoma kuna kazi nyingi sana wengine wana kazi maalum kuwepo mjengoni so sitshangaa akiwa mmoja wao...anyway nakutakia la kheri mama ila jitahd ukiwa na familia ujileeze kabla ya kuja kwa watu