Juliana Shonza
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,009
- 1,607
Hatimaye ccm leo tumehitimisha kampeni kwa bashasha kubwa na mapokezi ya hali ya juu katika kata ya mgongo kijiji cha kisonga shelui baada yakuzunguka katika vijiji vyote nane tulivyosimamisha wagombea.
Ni wazi kwamba tunaenda kushinda kwa kishindo katika vijiji vyote nane,kama kuna chama kimesimamisha nao wagombea basi wajiandae kuvuna aibu na kama wanabisha tukutane tena hapa hapa kesho tupeane tathmini.
Hakika Naibu katibu mkuu Mwigulu Nchemba wewe ni kipenzi cha wana Iramba wanakupenda na wanakuhitaji.
VIVA CCM!
Ni wazi kwamba tunaenda kushinda kwa kishindo katika vijiji vyote nane,kama kuna chama kimesimamisha nao wagombea basi wajiandae kuvuna aibu na kama wanabisha tukutane tena hapa hapa kesho tupeane tathmini.
Hakika Naibu katibu mkuu Mwigulu Nchemba wewe ni kipenzi cha wana Iramba wanakupenda na wanakuhitaji.
VIVA CCM!