mchonga
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 1,233
- 248
Habari za uhakika toka kambi ya CCM, zimeeleza kuwa CCM kwa kutumia serikali yake iliyopo madarakani inafanya mpango wa kuzima mawasiliano ya simu hasa za mikononi ili watu wasiwasiliane kujua matokeo ya kituo na kituo.
Nasema habari ni za uhakika kwa kuwa nimezinasa kwa bahati mbaya kupitia mawasiliano ya Emails ambayo imefika kwangu kwa bahati mbaya.
Kwa wanatumia M-PESA kuwahonga wapiga kura. kiwango cha chini ni 5,000 na wenye bahati 10,000 kwa kura. tena wanawatumia watu wenye ushawishi ili kutoa hongo hiyo kwa wapigakura.
Kazi ipo kweli, kweli kwa mtaji huu hata takukuru watapata taabu sana. mimi ningeshauri kuanzia hivi sasa utumaji wa pesa ufuatiliwe kwa karibu sana.
Naliweka janvini
Nasema habari ni za uhakika kwa kuwa nimezinasa kwa bahati mbaya kupitia mawasiliano ya Emails ambayo imefika kwangu kwa bahati mbaya.
Kwa wanatumia M-PESA kuwahonga wapiga kura. kiwango cha chini ni 5,000 na wenye bahati 10,000 kwa kura. tena wanawatumia watu wenye ushawishi ili kutoa hongo hiyo kwa wapigakura.
Kazi ipo kweli, kweli kwa mtaji huu hata takukuru watapata taabu sana. mimi ningeshauri kuanzia hivi sasa utumaji wa pesa ufuatiliwe kwa karibu sana.
Naliweka janvini