Nipo hapa Ludewa Kijiji Cha Mlangali, watu wanafuatilia Bunge katika kilabu cha pombe watu ni wengi wanatoa maoni yao kuwa sasa CCM inabanwa sana Bungeni Mpaka mwenyekiti anatoa matusi ambayo hata teja hawezi kuyasema wanasema ikiwa kiongozi wa CCM anatoa kauli ile basi CCM haina Kinga Wala Tiba kujiepusha kushindwa uchaguzi wa mwaka 2015. Wanasema kwa jinsi wanavyobanwa ndiyo wanaonesha hali halisi walivyo kama matusi uwongo na ubinfsi.
Wengi wanasema Bora Mbunge wao DEO FILINKUNJOMBE Ajiunge na vyama vya Upinzani kuliko kuendelea kuwa CCM kwani kuendelea kuwa huko atakipata kama alichokipata Mh. Kolimba aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo hilo mpaka mauti yalipomfika
Wengi wanasema Bora Mbunge wao DEO FILINKUNJOMBE Ajiunge na vyama vya Upinzani kuliko kuendelea kuwa CCM kwani kuendelea kuwa huko atakipata kama alichokipata Mh. Kolimba aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo hilo mpaka mauti yalipomfika