Karabatini jengo la makao makuu yenu! Ni aibu jamani mafisadi wote mlio nao mbashindwa nini? Wekeni thamani mpya basi walau itoe reflection ya miaka 35 ya Kuwepo kwenu. Acheni kutoa mapovu
hawana time ...wanakula bata tu
View attachment 44186
Wanadai hapo ni mahali pa mikakati tu, ila muda mwingi wanakuwa kwa wananchi kutatua matatizo. hivyo ni mpaka matatizo ya wananchi yatakapoisha " i.e. Kisima kikikauka " watarudi kuweka mikakati ya kukarabati - lol.Karabatini jengo la makao makuu yenu! Ni aibu jamani mafisadi wote mlio nao mbashindwa nini? Wekeni thamani mpya basi walau itoe reflection ya miaka 35 ya Kuwepo kwenu. Acheni kutoa mapovu
nimmiss huyu role Model wa Nape Nnauye
hawana time ...wanakula bata tu
View attachment 44186