Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,758
- 6,087
Best wallpaper
Best WallpaperHuu wimbo nenda ukamwimbie Bibi yako asiyejua hili Wala lile.View attachment 2608845
Haya.
Basi tusiandikie mate wakati wino upo, tupeni hiyo Katiba Mpya na Tume Huru ya uchaguzi, yatosha.
Sera na mambo mengine sisi tutajua wenyewe huko mbele ya safari.
Uwe na subira vyote vipo katika mchakato ,lakini pia bado CCM itashinda kwa kishindo kikuu kutokana na kuaminiwa na kukubalika na watanzaniaHaya.
Basi tusiandikie mate wakati wino upo, tupeni hiyo Katiba Mpya na Tume Huru ya uchaguzi, yatosha.
Sera na mambo mengine sisi tutajua wenyewe huko mbele ya safari.
Haya umepewa?Mama hagawi vitengo Bali majukumu
Mimi sipo hapa kutafuta vitengoHaya umepewa?
Yani ww sijui ulilishwa nini aiseh.Naongea na wanaojitambua watanzania wazalendo na wenye mapenzi mema na Taifa letu
Subira toka 1991/92?Uwe na subira vyote vipo katika mchakato ,lakini pia bado CCM itashinda kwa kishindo kikuu kutokana na kuaminiwa na kukubalika na watanzania
Kuna mkulima anashinda mitandaoni muda wote kutafuta huruma au hujui maana ya mkulimaHata Mimi Sina njaa maana Ni mkulima ninayetumia mikono yangu kujipatia chakula changu kupitia nguvu za mikono yangu
Njaa tu huyoYani ww sijui ulilishwa nini aiseh.
Ni lini CCM walishawahi kushinda uchaguzi kwa haki?Naishi Tanzania ambayo katika suala la Siasa Ni wazi kuwa upinzani umeishiwa mbinu
Huyo adui alitengenezwa na 'watawala'. Leo ni silaha hatari both ways.HII NCHI MASIKINI MNO MASIKINI SANA.
ADUI UJINGA NDIO CHANZO KIKUBWA CHA UMASIKINI WETU.
NA HAKUNA UMASIKINI MBAYA ZAIDI KAMA KUKOSA FIKRA.
JK NYERERE.
KAKA UNAMAWAZO YA KIMASIKINI SANA. MUNGU AKUTETEE.
Ndugu zangu watanzania,
Hivyo Ndivyo unavyoweza ukasema bila hofu Wala wasiwasi kuwa CCM inakwenda kuingia katika uchaguzi Mkuu ujao ikiwa tayari Imeshinda katika mioyo ya watanzania.
Hii Ni kutokana na kazi kubwa ya utekelezaji wa ilani iliyofanywa na serikali yake chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Rais wetu mama Samia.
Inakwenda ikiwa imekidhi matarajio ya watanzania, inakwenda ikiwa imebeba matumaini ya watanzania, inakwenda ikiwa imejibu maswali, kero, changamoto na kuzitolea majibu ya kuridhisha na kuleta matumaini, inakwenda ikiwa imeleta nuru, Tabasamu na matumaini katika mioyo ya watanzania, inakwenda ikiwa imefanikiwa katika secta zote, inakwenda ikiwa imejenga uchumi Unaogusa maisha ya watu na kukua katika mifuko ya Watanzania, inakwenda ikiwa imeleta maendeleo katika kila secta, inakwenda ikiwa inakubarika na makundi yote na Rika zote.
CCM Inakwenda kupambana na kukutana na vyama dhaifu, vilivyokosa dira na muelekeo, vilivyokosa matumaini, vilivyokosa mipango na mikakati, vilivyokosa Sera na ajenda za kugusa maisha ya watu,vilivyofirisika kihoja, vilivyokosa ushawishi kwa watanzania, vilivyokosa Safu ya uongozi wenye kushawishi watu.
CCM Inakwenda kukutana na vyama vilivyokosa mtandao wa kiuongozi,vilivyopoteza Imani kwa wananchi,vilivyopuuzwa na watanzania, visivyoaminika katika masikio ya watanzania, visivyosikilizwa Wala kuungwa mkono na watanzania, visivyo na Sera Wala ajenda mbadala ,visivyoweza kutatua hata migogoro Yao ndani yake, vilivyojikatia Tamaa na kusubiri huruma ya CCM, visivyo na maono Wala falsafa, visivyoweza hata kuandaa ilani yake.
Ni vyama vya matukio, usaka Tonge wa ubunge na udiwani kwa ajili ya kukusanya Ruzuku ,Ni vyama vinavyojiendesha kama mradi wa mtu na Mali ya mtu binafsi, ndiyo maana huko wenyeviti wake ni wakudumu, hawana mbadala Wala mrithi , huko ni makambale watupu, kila mtu na masilahi yake, kila mtu anajiangalia yeye na ajenda zake na maslahi yake, hawana habari za shida za wananchi.
Sasa Hawa wapinzani ndio Wana kwenda kupambana uso kwa uso na CCM iliyo imara na madhubuti, CCM iliyo na mtandao Mpana wa kiuongozi,CCM iliyokamilika kila idara,CCM iliyo na wanachama waaminifu mpaka ngazi ya kitongoji huko vijijini,CCM yenye wapiga kura waaminifu na inayoaminika na watanzania.
Ni wapinzani wachache Sana wasioweza kujaa hata kwenye kiganja watakao kwenda na kuingia Bungeni ,Ni wachache sana Tena Sana na itategemeana CCM imesimamisha akina nani katika majimbo husika ,lakini Kama CCM itaamua kubadilisha kitasa kwa hakika upinzani utapata Taabu Sana, ikumbukwe pia kwa Sasa hakuna mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kukesha na baridi au kuhatarisha usalama wake kwa ajili ya kumpigania mpinzani wakati anafahamu kuwa ni watu wenye Damu ya usaliti na ukigeugeu.
Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Naishi Tanzania ambayo katika suala la Siasa Ni wazi kuwa upinzani umeishiwa mbinu
Hivi unakosaga kazi za kufanya wewe kama ni chawa basi yule kupe kabisa yaani promax yaani kuisifia sifia kwani sisi hatuoni watu kama nyie ndio mnanyafanya hili taifa liharibikeNdugu zangu watanzania,
Hivyo Ndivyo unavyoweza ukasema bila hofu Wala wasiwasi kuwa CCM inakwenda kuingia katika uchaguzi Mkuu ujao ikiwa tayari Imeshinda katika mioyo ya watanzania.
Hii Ni kutokana na kazi kubwa ya utekelezaji wa ilani iliyofanywa na serikali yake chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Rais wetu mama Samia.
Inakwenda ikiwa imekidhi matarajio ya watanzania, inakwenda ikiwa imebeba matumaini ya watanzania, inakwenda ikiwa imejibu maswali, kero, changamoto na kuzitolea majibu ya kuridhisha na kuleta matumaini, inakwenda ikiwa imeleta nuru, Tabasamu na matumaini katika mioyo ya watanzania, inakwenda ikiwa imefanikiwa katika secta zote, inakwenda ikiwa imejenga uchumi Unaogusa maisha ya watu na kukua katika mifuko ya Watanzania, inakwenda ikiwa imeleta maendeleo katika kila secta, inakwenda ikiwa inakubarika na makundi yote na Rika zote.
CCM Inakwenda kupambana na kukutana na vyama dhaifu, vilivyokosa dira na muelekeo, vilivyokosa matumaini, vilivyokosa mipango na mikakati, vilivyokosa Sera na ajenda za kugusa maisha ya watu,vilivyofirisika kihoja, vilivyokosa ushawishi kwa watanzania, vilivyokosa Safu ya uongozi wenye kushawishi watu.
CCM Inakwenda kukutana na vyama vilivyokosa mtandao wa kiuongozi,vilivyopoteza Imani kwa wananchi,vilivyopuuzwa na watanzania, visivyoaminika katika masikio ya watanzania, visivyosikilizwa Wala kuungwa mkono na watanzania, visivyo na Sera Wala ajenda mbadala ,visivyoweza kutatua hata migogoro Yao ndani yake, vilivyojikatia Tamaa na kusubiri huruma ya CCM, visivyo na maono Wala falsafa, visivyoweza hata kuandaa ilani yake.
Ni vyama vya matukio, usaka Tonge wa ubunge na udiwani kwa ajili ya kukusanya Ruzuku ,Ni vyama vinavyojiendesha kama mradi wa mtu na Mali ya mtu binafsi, ndiyo maana huko wenyeviti wake ni wakudumu, hawana mbadala Wala mrithi , huko ni makambale watupu, kila mtu na masilahi yake, kila mtu anajiangalia yeye na ajenda zake na maslahi yake, hawana habari za shida za wananchi.
Sasa Hawa wapinzani ndio Wana kwenda kupambana uso kwa uso na CCM iliyo imara na madhubuti, CCM iliyo na mtandao Mpana wa kiuongozi,CCM iliyokamilika kila idara,CCM iliyo na wanachama waaminifu mpaka ngazi ya kitongoji huko vijijini,CCM yenye wapiga kura waaminifu na inayoaminika na watanzania.
Ni wapinzani wachache Sana wasioweza kujaa hata kwenye kiganja watakao kwenda na kuingia Bungeni ,Ni wachache sana Tena Sana na itategemeana CCM imesimamisha akina nani katika majimbo husika ,lakini Kama CCM itaamua kubadilisha kitasa kwa hakika upinzani utapata Taabu Sana, ikumbukwe pia kwa Sasa hakuna mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kukesha na baridi au kuhatarisha usalama wake kwa ajili ya kumpigania mpinzani wakati anafahamu kuwa ni watu wenye Damu ya usaliti na ukigeugeu.
Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Unaweza kututajia hizo sera zilizogusa maisha ya watanzaniaHata ije tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itashinda kwa kishindo uchaguzi kutokana kuwa na Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania
Ndugu zangu watanzania,
Hivyo Ndivyo unavyoweza ukasema bila hofu Wala wasiwasi kuwa CCM inakwenda kuingia katika uchaguzi Mkuu ujao ikiwa tayari Imeshinda katika mioyo ya watanzania.
Hii Ni kutokana na kazi kubwa ya utekelezaji wa ilani iliyofanywa na serikali yake chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Rais wetu mama Samia.
Inakwenda ikiwa imekidhi matarajio ya watanzania, inakwenda ikiwa imebeba matumaini ya watanzania, inakwenda ikiwa imejibu maswali, kero, changamoto na kuzitolea majibu ya kuridhisha na kuleta matumaini, inakwenda ikiwa imeleta nuru, Tabasamu na matumaini katika mioyo ya watanzania, inakwenda ikiwa imefanikiwa katika secta zote, inakwenda ikiwa imejenga uchumi Unaogusa maisha ya watu na kukua katika mifuko ya Watanzania, inakwenda ikiwa imeleta maendeleo katika kila secta, inakwenda ikiwa inakubarika na makundi yote na Rika zote.
CCM Inakwenda kupambana na kukutana na vyama dhaifu, vilivyokosa dira na muelekeo, vilivyokosa matumaini, vilivyokosa mipango na mikakati, vilivyokosa Sera na ajenda za kugusa maisha ya watu,vilivyofirisika kihoja, vilivyokosa ushawishi kwa watanzania, vilivyokosa Safu ya uongozi wenye kushawishi watu.
CCM Inakwenda kukutana na vyama vilivyokosa mtandao wa kiuongozi,vilivyopoteza Imani kwa wananchi,vilivyopuuzwa na watanzania, visivyoaminika katika masikio ya watanzania, visivyosikilizwa Wala kuungwa mkono na watanzania, visivyo na Sera Wala ajenda mbadala ,visivyoweza kutatua hata migogoro Yao ndani yake, vilivyojikatia Tamaa na kusubiri huruma ya CCM, visivyo na maono Wala falsafa, visivyoweza hata kuandaa ilani yake.
Ni vyama vya matukio, usaka Tonge wa ubunge na udiwani kwa ajili ya kukusanya Ruzuku ,Ni vyama vinavyojiendesha kama mradi wa mtu na Mali ya mtu binafsi, ndiyo maana huko wenyeviti wake ni wakudumu, hawana mbadala Wala mrithi , huko ni makambale watupu, kila mtu na masilahi yake, kila mtu anajiangalia yeye na ajenda zake na maslahi yake, hawana habari za shida za wananchi.
Sasa Hawa wapinzani ndio Wana kwenda kupambana uso kwa uso na CCM iliyo imara na madhubuti, CCM iliyo na mtandao Mpana wa kiuongozi,CCM iliyokamilika kila idara,CCM iliyo na wanachama waaminifu mpaka ngazi ya kitongoji huko vijijini,CCM yenye wapiga kura waaminifu na inayoaminika na watanzania.
Ni wapinzani wachache Sana wasioweza kujaa hata kwenye kiganja watakao kwenda na kuingia Bungeni ,Ni wachache sana Tena Sana na itategemeana CCM imesimamisha akina nani katika majimbo husika ,lakini Kama CCM itaamua kubadilisha kitasa kwa hakika upinzani utapata Taabu Sana, ikumbukwe pia kwa Sasa hakuna mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kukesha na baridi au kuhatarisha usalama wake kwa ajili ya kumpigania mpinzani wakati anafahamu kuwa ni watu wenye Damu ya usaliti na ukigeugeu.
Kazi iendeleee, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Hao mafisadi waliotajwa na CAG wamefanywaje?CCM Ni chama kinachopiga Vita Rushwa na ufisadi kwa nguvu zake zote