CCM imefanya maamuzi magumu

Mzee wa kiingereza nahisi we ni gamba linaloishi London ndiyo maana huoni hata Kiswahili hujui watu wanaongea lugha ya taifa kila ukichangia ni kiingereza Mwaita au kuna mzungu anaitwa Mwita?


Another novice critic's comment! So let's, as you wish, agree that JK is a throttlebottom, nebbish and a callow president and that CCM's manifesto has utterly flopped. If this is the case, did the opposition side delineate an alternative blueprint? I suppose instead of incessantly puling and misprizing whatever little the government has achieved, we must change our crippled mindset and be part of the change.
<br />
<br />
 
kuua watu wanapoandamana na kutishia watu wanaochagua vyama vingine vya siasa
 
nchi iko matatizoni wabunge wamagamba wanadai ongezeko la POSHO!
 
. Kumfunga Babu Seya bila sababu ya msingi.
. Kuwa na waziri mkuu asiye na maamuzi yoyote ndani ya nchi.
. Kuwa na maziwa na bahari lakini nchi haina mela hata moja.
. Kuwa na viwanja vya ndege na wafanyakazi 185 lkn nchi haina hata ndege moja.
. Kutaka kujenga reli kutoka Tanga mpaka Musoma wakati iliyopo imekwama!



Katika hili la kuhusu ndege naomba niipongeze ccm, maana MKurugenzi wa ATCL by then Mataka alisema kweli ndege hatuna ila mafanikio makubwa aliyoyafanya wakati wa uongozi wake ni KUTENGENEZA NEMBO ya shirika. Kwa serikali legelege haya ni maamuzi makubwa mno jamani wana JF, Tusiibeze serikali yetu legelege
 
Another novice critic's comment! So let's, as you wish, agree that JK is a throttlebottom, nebbish and a callow president and that CCM's manifesto has utterly flopped. If this is the case, did the opposition side delineate an alternative blueprint? I suppose instead of incessantly puling and misprizing whatever little the government has achieved, we must change our crippled mindset and be part of the change.
<br />
<br />
This is not english you fool. sorry for being honest to you fool again.
 
kumpa likizo ya malipo mkurugenzi wa wanyamapori kupisha uchunguzi wa wanyama pori waliouzwa na kusafirishwa nchi za nje
 
pengine sijui hasa maana ya maa<br />
muzi magumu. Lakini mimi nadhani yafuatayo nayo ni maamuzi mag<br />
<br />
umu ambayo ccm imeyachukua na kuna kila dalili ya kuendelea kuyachukua ambayo ni serikali chache sana duniani kama zipo ambazo zina weza kuchukua na wananchi wake wakaridhika na wasichukue hatua yoyote zaidi;<br />
<br />
1.kumuacha/kumsaidia Jeetu patel aondoke nchini wakti anatuhumiwa kwa wizi mkubwa<br />
2.kumpoteza balali katika mazingira ya kutatanisha sana baada ya kusema kweli kwamba yeye atsema kweli.<br />
3. Kutotaja na kuwachukulia hatua wamiliki wa kagoda.<br />
4. Kukiri hadharani kwamba wamiliki wa kagoda hawajulikani.<br />
5.waziri wa ulinzi kuamua ktojiuzulu pamoja na mabomu yake kuleta maafa makubwa kwa wanachi mara mbili kwa uzembe wake.<br />
6. Mweye kampuni ya ANBEN kutochukuliwa hatua yoyote<br />
7.kukiri waziwazi kwamba hawamjui mwenye richmond.<br />
<br />
9. Kutubutu kusema kwamba cdm ni wachochezi wakti dinia yote in juwa kwamba cdm ni wapigania haki wanao takiwa kuungwa mkono na kila mpenda haki.<br />
10. Kumuomba seif shariff adanganye kwamba ameshindwa uchaguzi ilhali wao ccm ndio walio shindwa.<br />
<br />
11.kutawla bila ridhaa ya kweli ya wananchi<br />
12.kumtoa spika aliyependwa na bora sana kwa viwango vingi tu na kumweka kibaraka wao bila kuona haya.<br />
13. Kumfukuaza kazi mkurugenzi bora kabisa katka viwango vyote kwasababu tu alitenda kazi yake kwa kadri ya taaluma yake. Hakuipendelea ccm.<br />
<br />
Haya ni maamuzi magumu sana, nani anweza kuchukua maamuzi kama haya? <br />
<br />
nawakilisha.
<br />
<br />

binafsi nazani wananchi tumefanya maamuzi magumu zaidi ya CCM, ya kukubali kikwete kuendelea kubaki ikulu.
Pima vizuri utagundua ata hayo maamuzi uliyotaja yamefanyika sababu tu ya maamuzi yetu magumu ya kuendelea kuichekea CCM.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
binafsi nazani wananchi tumefanya maamuzi magumu zaidi ya CCM, ya kukubali kikwete kuendelea kubaki ikulu.<br />
Pima vizuri utagundua ata hayo maamuzi uliyotaja yamefanyika sababu tu ya maamuzi yetu magumu ya kuendelea kuichekea CCM.
Wananchi walifanya maamuzi rahisi ya kutokumchagua JK lakini JK akafanya maamuzi magumu ya kuiba/kuchakachua kura!
 
28. Nchi haina pesa kwa ajili ya kuandika katiba mpya....!
29. Kumtuma mwanasheria mkuu aandae sheria ya kuzuia maandamano!
 
Another novice critic's comment! So let's, as you wish, agree that JK is a throttlebottom, nebbish and a callow president and that CCM's manifesto has utterly flopped. If this is the case, did the opposition side delineate an alternative blueprint? I suppose instead of incessantly puling and misprizing whatever little the government has achieved, we must change our crippled mindset and be part of the change.

We are part of the change, YOU should be part of the change as well, its not about kicking CCM out of power, its about people, getting rid of corruption, unaccountable leaderes, basic necessities, water, electricity, education, health, welfare, infrastructure....Even if your blind or deaf or have unquestionable loyality to CCM, you must and have to support us on this?!
Otherwise we will have to question your judgement!
 
Wananchi walifanya maamuzi rahisi ya kutokumchagua JK lakini JK akafanya maamuzi magumu ya kuiba/kuchakachua kura!
<br />
<br />

kweli kabisa kupiga kura yalikua maamuzi mepesi, magumu ni kufanya kama wenzetu wa misri kaka.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
binafsi nazani wananchi tumefanya maamuzi magumu zaidi ya CCM, ya kukubali kikwete kuendelea kubaki ikulu.<br />
Pima vizuri utagundua ata hayo maamuzi uliyotaja yamefanyika sababu tu ya maamuzi yetu magumu ya kuendelea kuichekea CCM.
<br />
<br />
Mkuu huyu mtu aliingia madarakani kwa wizi ndo maana yote haya yanamkumba kumbuka mwosha huoshwa na bado atakiona na kujuta kwa wizi wake
 
....kikwete kuwa raisi wa mwisho kutoka ccm kwa chama kuruhusu madudu yake
 
Back
Top Bottom