YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Architecs waliosababisha CCM karibu iondoke madarakani 2015 ndio hao hao walioleta DP World lengo hasa lao ni kuwa walishindwa kufikia malengo yao kung'oa CCM wameingia part 2 ya kubuni agenda ili wengi wachukie CCM na 2025 wananchi waiondoe.
Wafanya mapinduzi mafisadi huwa wako smart kupanga agenda za kung'oa chama tawala madarakani, mojawapo ni kutumia hela sana kuhakikisha wanaibua agenda zitazosababisha hasira za wananchi walio wengi ziwe juu mno mwisho wa siku watapigia kura upinzani.
Ieleweke kuwa 2015 hayo magenge yalipoteza pesa nyingi sana yana hasira na hazijapoa.
Sasa wako part 2 kuwaandaa wananchi kuwa na hasira za kufa mtu na CCM na serikali yake.
Serikali wameshaimudu na bunge walishalimudu likapitisha hicho cha hovyo na kwa asilimia fulani kubwa tayari lengo lao kwa wananchi wengi kuwapandisha hasira kuchukia Chama na serikali limefikiwa.
Hili suala sio dogo, liko framed kwa makusudi ya kuondoa CCM madarakani. Yale makundi ya Lowassa yaliyotaka kuchukua nchi 2015 yako active sana sasa hivi ndani ya CCM. Lengo lao ni moja, CCM 2025 lazima ifungashwe virago.
Wafanya mapinduzi mafisadi huwa wako smart kupanga agenda za kung'oa chama tawala madarakani, mojawapo ni kutumia hela sana kuhakikisha wanaibua agenda zitazosababisha hasira za wananchi walio wengi ziwe juu mno mwisho wa siku watapigia kura upinzani.
Ieleweke kuwa 2015 hayo magenge yalipoteza pesa nyingi sana yana hasira na hazijapoa.
Sasa wako part 2 kuwaandaa wananchi kuwa na hasira za kufa mtu na CCM na serikali yake.
Serikali wameshaimudu na bunge walishalimudu likapitisha hicho cha hovyo na kwa asilimia fulani kubwa tayari lengo lao kwa wananchi wengi kuwapandisha hasira kuchukia Chama na serikali limefikiwa.
Hili suala sio dogo, liko framed kwa makusudi ya kuondoa CCM madarakani. Yale makundi ya Lowassa yaliyotaka kuchukua nchi 2015 yako active sana sasa hivi ndani ya CCM. Lengo lao ni moja, CCM 2025 lazima ifungashwe virago.