mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,772
- 2,171
Hivi karibuni Cyprian Musiba amekuwa akitoa matamko mitandaoni akijinasibu kana kwamba anaongea kwa niaba ya CCM/Serikali. Ushauri wangu wa bure ni kwamba kama ni kweli basi CCM na serikali vinajidhalilisha kumtumia Musiba kwa namna navyotoa matamko yake. Ni bora wamkane na kumwonya asijihusishe na CCM wala serikali. Kama anataka kutoa matamko yake ayatoe kwa niaba yake na si kwa niaba ya CCM. Humphrey Pole Pole kazi kwako