Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Jana CCM mlieenda Jangwani na nyie mkatoa yenu.
Sii siri move hii ililenga kujibu mapigo ya Chadema ambao walitinga hapo Jangwani na M4C.
Wanavyosema wajuzi wa kabumbu wanasema katika makosa timu inaweza kufanya
ni kukubali kuiga mchezo wa mwenzako ukiwa unacheza naye iwe ni pasi ndefu, fupi,
mchezo wa kasi, polepole au mipira ya juu n.k.
Sababu ni wazi kuwa wewe utajikuta mgeni katika kuutumia kikamilifu ile style.
Haya ndiyo yalityowakuta CCM jana Jangwani.
USHAURI: CCM kuweni wabunifu msiingie mtego wa kufuata kila wanachokifanya CHADEMA.
Si lazima wakisema Vua Gamba, Vaa Gwanda na wewe Useme Vua Gwanda, Vaa uzalendo
Kesho wakianza maandamano nanyi mtakaandamana?
Sii siri move hii ililenga kujibu mapigo ya Chadema ambao walitinga hapo Jangwani na M4C.
Wanavyosema wajuzi wa kabumbu wanasema katika makosa timu inaweza kufanya
ni kukubali kuiga mchezo wa mwenzako ukiwa unacheza naye iwe ni pasi ndefu, fupi,
mchezo wa kasi, polepole au mipira ya juu n.k.
Sababu ni wazi kuwa wewe utajikuta mgeni katika kuutumia kikamilifu ile style.
Haya ndiyo yalityowakuta CCM jana Jangwani.
USHAURI: CCM kuweni wabunifu msiingie mtego wa kufuata kila wanachokifanya CHADEMA.
Si lazima wakisema Vua Gamba, Vaa Gwanda na wewe Useme Vua Gwanda, Vaa uzalendo
Kesho wakianza maandamano nanyi mtakaandamana?