Mgoyangi
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 184
- 9
Mgeja ambaye ni mwenyekiti wa ccm amesema chama hicho hakina ubia na watendaji wala rushwa na wabadhirifu.
'CCM haijawatuma watendaji wezi na wabadhilifu wala rushwa' anasema Mgeja muda huu akihutubia kijijini kagongwa wilayani Kahama
anasema kukihukumu chama hicho kwa madhambi ya aina hiyo siyo haki
anawataka wananchi kuwashughulikia vilivyo watendaji wa aina hiyo
'CCM haijawatuma watendaji wezi na wabadhilifu wala rushwa' anasema Mgeja muda huu akihutubia kijijini kagongwa wilayani Kahama
anasema kukihukumu chama hicho kwa madhambi ya aina hiyo siyo haki
anawataka wananchi kuwashughulikia vilivyo watendaji wa aina hiyo