Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Katika kufuatilia kampeni za vyama vya siasa. Nimegundua CCM hawafanyi kampeni ilikutangaza hoja zao. Zaidi wanaandaa concert ya kusanya wanamuziki mbalimbali kwa ajili ya kuburudisha wananchi. Mgombea wanampa muda mfupi wa kuongea na wananchi. badala ya kutangaza sera mara nyingi mgombea ni kurudia rudia maneno kama ''Chagua CCM maana imetekeleza ahdi kwa asilimia kubwa'' hakuna kutaja ahadi hizo.
Nimeona ni concert kwa sababu siku ya kampeni watu huletwa na magari toka sehemu mbalimbali yaliyolipiwa na CCM, wakati kwa vyama vvingine watu wajileta wenyewe.
Maswali hayaruhusiwi, kinachoruhusiwa ni kushangilia tu hata kama mgombea hajasema point ya maana.
Je tuwaeleweje viongozi wa CCM? Midahalo wamekataa, wanapenda kuwaletea wananchi burudani badala ya sera itakayotuletea maendeleo
Nimeona ni concert kwa sababu siku ya kampeni watu huletwa na magari toka sehemu mbalimbali yaliyolipiwa na CCM, wakati kwa vyama vvingine watu wajileta wenyewe.
Maswali hayaruhusiwi, kinachoruhusiwa ni kushangilia tu hata kama mgombea hajasema point ya maana.
Je tuwaeleweje viongozi wa CCM? Midahalo wamekataa, wanapenda kuwaletea wananchi burudani badala ya sera itakayotuletea maendeleo