CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Wakuja ni wakuja tu, zipo carpet mpaka za swimming pool, za garden, zote hizo ni water proof, na hilo unaloliona ni spesho kwa nje nalo halidhuruwi na maji.[/QUOTE
hahahaha wakuja duuh.
Wakuja ni wakuja tu, zipo carpet mpaka za swimming pool, za garden, zote hizo ni water proof, na hilo unaloliona ni spesho kwa nje nalo halidhuruwi na maji.
na wewe kwa kujifanya unajua mambo ya ikulu hujamboWakuja ni wakuja tu, zipo carpet mpaka za swimming pool, za garden, zote hizo ni water proof, na hilo unaloliona ni spesho kwa nje nalo halidhuruwi na maji.
Mkulu anabeba mwenyewe mwavuli?
Wakuja ni wakuja tu, zipo carpet mpaka za swimming pool, za garden, zote hizo ni water proof, na hilo unaloliona ni spesho kwa nje nalo halidhuruwi na maji.
Kiswahili kigumu!
Nilikuwepo na liliingia maji na halikuwa na uspesho wowote maana hawakujiandaa kwa mvua hiyo, ni vizuri tuwe wakweli badala ya kushabikia hata carpet.Wakuja ni wakuja tu, zipo carpet mpaka za swimming pool, za garden, zote hizo ni water proof, na hilo unaloliona ni spesho kwa nje nalo halidhuruwi na maji.
Kazi ya U-Bodyguard mbaya sana! Ona jamaa wanavyonyeshewa!
Kazi ya U-Bodyguard mbaya sana! Ona jamaa wanavyonyeshewa!