chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,118
- 22,505
R.i.p marehemu komba
sote tutakufa lakini kuna kifo na kifo. komba kafa kifo cha kidhalili sana, cha udhulumati. na alivokuwa na kiburi cha pesa za uzulumati sidhani hata alikumbuka toba, am sure he is not going to RIP but SIH(Suffer In Hell)Sio ndugu zenu tu, na wewe lazima ufe!
sote tutakufa lakini kuna kifo na kifo. komba kafa kifo cha kidhalili sana, cha udhulumati. na alivokuwa na kiburi cha pesa za uzulumati sidhani hata alikumbuka toba, am sure he is not going to RIP but SIH(Suffer In Hell)
ndo maana tumekuambia kuna kifo na kifo. kuna kifo cha kidhalili(dying like a hog(castrated pig) na kifo cha kishujaa(dying nobly). warioba akifa leo(hata kama mtamuua nyie) atakuwa kafa kishujaa kama walivokufa kina madiba, mwandosi, samora mashel, yule polis wa dom, nyerere na kadhalika. sasa si kila mtu ni mtu eti akifa tuhuzunike, kuna na viatu. hivi linyoka la makengeza likirest in hell leo hii kuna mtu atatoa chozi?!!! la kazi gan???!!Pro-Chadema JF wana vituko sana ushabiki wao wa vyama hadi kwenye vifo.
Kifo siyo malipo ya ubaya kama mnavyodhani hivi kuna mtu humu hajawahi kufiwa na ndugu/jamaa, binadamu wote tunatembea na vifo.
Mbona viongozi wengi tu wa Chadema wameishatangulia mbele ya haki yupo wapi Chacha Wangwe, yupo wapi Regia Mtema, yupo wapi Bob Makani.
Kifo akichagui sijui wewe upo UKAWA au CCM.
Pro-Chadema JF wana vituko sana ushabiki wao wa vyama hadi kwenye vifo.
Kifo siyo malipo ya ubaya kama mnavyodhani hivi kuna mtu humu hajawahi kufiwa na ndugu/jamaa, binadamu wote tunatembea na vifo.
Mbona viongozi wengi tu wa Chadema wameishatangulia mbele ya haki yupo wapi Chacha Wangwe, yupo wapi Regia Mtema, yupo wapi Bob Makani.
Kifo akichagui sijui wewe upo UKAWA au CCM.
Unaweweseka nini.Maoni yoote negative ni wanachadema?Huna akili zaidi ya siasa?Au wewe nmi kama mwenzio Mussa Allan aliyesema ni afadhali angekufa babu mzinzi bila kujua ndo tayari kafa!Hao ulowataja ni tofauti na huyu jamaa wao hawakuwahi kumtukana Jaji au kuliza umma wa wa Tz kwa uwizi na dhuluma kama ...Pro-Chadema JF wana vituko sana ushabiki wao wa vyama hadi kwenye vifo.
Kifo siyo malipo ya ubaya kama mnavyodhani hivi kuna mtu humu hajawahi kufiwa na ndugu/jamaa, binadamu wote tunatembea na vifo.
Mbona viongozi wengi tu wa Chadema wameishatangulia mbele ya haki yupo wapi Chacha Wangwe, yupo wapi Regia Mtema, yupo wapi Bob Makani.
Kifo akichagui sijui wewe upo UKAWA au CCM.
yaan mfano kesho mara paaaaa lidondoke lichatu la makengeza yan ningetafuta baa moja hapa manzese niifunge walala hoi wanywe bia za bure kusheherekea. madhulumati yote fahari yao ni hapa duniani tu lakni vifo vyao ni vya kidhalili kama cha komba.
mtatua na kutupasua vichwa sana kwa marungu ya polisi lakini na nyie siku zenu zipo nambadi kama sisi tu.