Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,073 94,232 Sep 7, 2012 #1 yaani unaweza ukatolewa b.ikira hivi hivi!! Attachments 13959.jpg 24.2 KB · Views: 822
HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,390 94,654 Sep 7, 2012 #3 heheh huyo bull du ni noma au kafundishwa?
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,073 94,232 Sep 7, 2012 Thread starter #4 andybird314 said: heheh huyo bull du ni noma au kafundishwa? Click to expand... chezeya ng'ombe mwenye mihasira yake!!!
andybird314 said: heheh huyo bull du ni noma au kafundishwa? Click to expand... chezeya ng'ombe mwenye mihasira yake!!!
St. Paka Mweusi JF-Expert Member Sep 3, 2010 7,645 4,534 Sep 7, 2012 #5 Huyo mdudu mi huwa namuona wa maana akiwa kwenye bakuli la mchuzi tu,lakini tofauti na hapo mmh..
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Sep 7, 2012 #6 huyo ng'mbe anataka mwenzake anye huku analia na amejishikilia ukutani ndio kampiga wapi hapo au ni wa pande za mambasa.
huyo ng'mbe anataka mwenzake anye huku analia na amejishikilia ukutani ndio kampiga wapi hapo au ni wa pande za mambasa.
R Rebel volcano JF-Expert Member Jun 1, 2012 403 86 Sep 7, 2012 #7 jamaa naona mchezo kaupenda hii ni mara ya 18 sasa naona kachomekwa pembe hapo hapo (juha express)
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 631 Sep 7, 2012 #8 jamaa anaweza kuwa choko!:alien:
M Mundu JF-Expert Member Sep 26, 2008 2,707 638 Sep 7, 2012 #9 watu8 said: yaani unaweza ukatolewa b.ikira hivi hivi!! Click to expand... Na kuwa ha.nithi vilevile...kha!
watu8 said: yaani unaweza ukatolewa b.ikira hivi hivi!! Click to expand... Na kuwa ha.nithi vilevile...kha!
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,073 94,232 Sep 7, 2012 Thread starter #10 Mundu said: Na kuwa ha.nithi vilevile...kha! Click to expand... hivyo lazima viendane sawa...
Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 18,694 13,536 Sep 7, 2012 #11 huyu ng'ombe hakuona sehemu nyingine ya mwili!!!!
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Sep 8, 2012 #12 kipembe kimetumika kama kitoboleo cha kiume.
Joeli JF-Expert Member Apr 25, 2011 4,941 3,402 Sep 8, 2012 #13 watu8 said: yaani unaweza ukatolewa b.ikira hivi hivi!! Click to expand... blaza hii ni hatari sana
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,184 16,293 Sep 8, 2012 #14 huo mkia kukatwa ni kuongeza hasira au?
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,073 94,232 Sep 10, 2012 Thread starter #15 C6 said: blaza hii ni hatari sana Click to expand... yah mkuu hilo pembe linaweza lisichomoke
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,073 94,232 Sep 10, 2012 Thread starter #16 Never give up said: huo mkia kukatwa ni kuongeza hasira au? Click to expand... huo mkia ni kuwa umejikunja tu sidhani kama umekatwa...Wahispania na Walatini ndio huwa wancheza hii michezo, wanatumia ng'ombe wenye nusu kichaa
Never give up said: huo mkia kukatwa ni kuongeza hasira au? Click to expand... huo mkia ni kuwa umejikunja tu sidhani kama umekatwa...Wahispania na Walatini ndio huwa wancheza hii michezo, wanatumia ng'ombe wenye nusu kichaa
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,073 94,232 Sep 10, 2012 Thread starter #17 St. Paka Mweusi said: Huyo mdudu mi huwa namuona wa maana akiwa kwenye bakuli la mchuzi tu,lakini tofauti na hapo mmh.. Click to expand... hapo anajifanya baunsa wakati huku tunamla kama mchemsho...dah!
St. Paka Mweusi said: Huyo mdudu mi huwa namuona wa maana akiwa kwenye bakuli la mchuzi tu,lakini tofauti na hapo mmh.. Click to expand... hapo anajifanya baunsa wakati huku tunamla kama mchemsho...dah!
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,073 94,232 Sep 10, 2012 Thread starter #18 Zamaulid said: huyu ng'ombe hakuona sehemu nyingine ya mwili!!!! Click to expand... hapo alipoona ndio rahisi hiyo pembe kupenya
Zamaulid said: huyu ng'ombe hakuona sehemu nyingine ya mwili!!!! Click to expand... hapo alipoona ndio rahisi hiyo pembe kupenya