Nimejaribu kutafuta hayo majina kwenye web site yao lakn nimekosa. Ninalo gazette hapa taja jina lako nikuangalize NA nafas uliyoomba.
Wadau tume ya mahakama imetoa majina mengi kwa walioomba nafasi mbalimbali. Someni mwananchi ya Leo kuona NA kujiaandaa kwa walioitwa.
Mtunza kumbukumbu wameita wangapi?
angalia mtunza kumbukumbu jina christina Emmanuel
mkuu nimeku in box!334,ndugu mbona majanga.
mkuu samahani unalo hilo gazeti uniangalizie?hongeraaaaaa............haupo :sad::sad::sad::sad::sad::sad: