umeooooooooooooooooooonaaaaaaaaaaaaaaaaaaWakati mwingine naboreka
Na aliyempa kazi Mataka yuko wapi?Mataka yuko wapi?
mara ya mwisho kuguswa ****** yangu ni shulen sasa hilo swali unapoeleekea unanitatiza nahisi yale ya shule ayanataka kujirudia kwa njia nyingine \na aliyempa kazi mataka yuko wapi?
Sasa Omari Nundu si wa juzi tu...@Pdidy & all..... Jamani cha kukilaumu ni mfumo mzima wa CCM na serikali yake.. Kwanza Omari N. ni kichwa ambacho dunia nzima kinaheshimika.. Na ameingia juzi tu..scandal ni ya miaka minne iliyopita.. Cha kulaumu ni mfumo.. Yaani serikali iliyopo madarakani kama ukichunguza maovu yao,hata kujivalisha bomu la nyuklia ujilipue,hutajishauri mara mbili..