bushman
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,411
- 743
hakika ni kweli nipo na mfanyakazi wa ofisi,ya CAG ananiambia JAIRO ni mtandao wa LUHANJO na wanamakampuni hewa mengi,kwa mfano ananiambia CAG Ripoti ya UDOM alichakachua k'bu kampuni yake ilifanya kazi ile nimeumia sana,ofisi ya CAG inatumia mihuri ya serikali kufanya wizi,source ni mfanyakazi wa ofisi ya CAG!