ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,114
- 49,840
Wakuu Chadema Wana mzaha sana ,eti haka kajengo kama nyumba ya kuishi ndio Ofisi ya Chama Makao Makuu waliyoisubiria Kwa miaka 30..
Mil.500 eti ya Kiwanja na Ukarabati wa 1.5bln? Huu ni Ufisadi wa mchana kweupeee.
Hivi Chadema mnaijua Bilioni 2 kweli nyie? Anyway wajinga ndio Waliwao nyumbu ni nyumbu tuu..
Chama kikuu cha upinzani CHADEMA kililazimika kusubiri kwa miaka 30 kabla ya kupata jengo la ghorofa moja litakalotumiwa kama makao makuu yake, lililonunuliwa na kurekebishwa kwa thamani ya takriban Sh1.5 bilioni.
My Take
CAG Afanye Ukaguzi maalumu,Wamekarabati pesa ya ruzuku,hapana Value for money hapo.
Mil.500 eti ya Kiwanja na Ukarabati wa 1.5bln? Huu ni Ufisadi wa mchana kweupeee.
Hivi Chadema mnaijua Bilioni 2 kweli nyie? Anyway wajinga ndio Waliwao nyumbu ni nyumbu tuu..
Chama kikuu cha upinzani CHADEMA kililazimika kusubiri kwa miaka 30 kabla ya kupata jengo la ghorofa moja litakalotumiwa kama makao makuu yake, lililonunuliwa na kurekebishwa kwa thamani ya takriban Sh1.5 bilioni.
My Take
CAG Afanye Ukaguzi maalumu,Wamekarabati pesa ya ruzuku,hapana Value for money hapo.