CAF yamteua Millard Ayo kuripoti moja kwa moja michauno ya AFCON2017 kutoka Uwanjani

ila tatizo la mbwigga uswahili swahili (na vyeti hana=sidhani hata kama anajua kuandika/kusoma) nadhani wameona asituletee aibu nyingine hii tuliyo nayo ya KUTOKUJUA UNG'ENG'E inatutosha.

NB: Next time wamfikirie na yule DIVA akachombeze huko AFCON.
Hujatembea huna Exposure yoyote,unaweza kueleza usawahili uswa hili ni nini?
Kwa Taarifa yako Lugha rasmi ya CAF ni kifaransa.Hata kirefu cha CAF ni Confederation de Africaine Football
Kwa hiyo kutojua kiingereza kule sio ishu,kuna vitendea kazi kwenye news room utatafsiriwa kwa lugha uitakayo.
Kuna waandishi wanajua kireno wengine kifaransa,kiingereza sio ishu
 
Millard hayui sports kabisa iweje ateuliwe yeye waache wale wenye ufahamu wa maswala ya mpira ??
 
Yan katika,watangazaj wanaopiga pesa na,wanaojua nn wanakifanya,n huyu millard aiseee huyu jamaaa yuko vzr sana

Co kama,wenzie hapo wapo 10years na hawana hata kibanda n kubadilisha tu magar mjin na starehe

Mchomvu,dozen sudi,ziro
Amken vilaza nyie
Kaz kula tu bangi mkija Nairobi ndo mnasema na nyie mmenda kaz za njee
B 12 twangalaa ana duka la nguo brand name Born 2 Shine
 
Yan katika,watangazaj wanaopiga pesa na,wanaojua nn wanakifanya,n huyu millard aiseee huyu jamaaa yuko vzr sana

Co kama,wenzie hapo wapo 10years na hawana hata kibanda n kubadilisha tu magar mjin na starehe

Mchomvu,dozen sudi,ziro
Amken vilaza nyie
Kaz kula tu bangi mkija Nairobi ndo mnasema na nyie mmenda kaz za njee
B 12 twangalaa ana duka la nguo brand name Born 2 Shine
 
Back
Top Bottom