Na mashabiki kutoka tz ambao CAF itakubali kuwauzia tickets wapewe bendera pia!Naye apewe bendera ya Tanzania
Hujatembea huna Exposure yoyote,unaweza kueleza usawahili uswa hili ni nini?ila tatizo la mbwigga uswahili swahili (na vyeti hana=sidhani hata kama anajua kuandika/kusoma) nadhani wameona asituletee aibu nyingine hii tuliyo nayo ya KUTOKUJUA UNG'ENG'E inatutosha.
NB: Next time wamfikirie na yule DIVA akachombeze huko AFCON.
mbona Millard Ayo hajapewa bendera ya Taifa??
Kweli bhana,wampeleke Kitenge!.Millard hayui sports kabisa iweje ateuliwe yeye waache wale wenye ufahamu wa maswala ya mpira ??
B 12 twangalaa ana duka la nguo brand name Born 2 ShineYan katika,watangazaj wanaopiga pesa na,wanaojua nn wanakifanya,n huyu millard aiseee huyu jamaaa yuko vzr sana
Co kama,wenzie hapo wapo 10years na hawana hata kibanda n kubadilisha tu magar mjin na starehe
Mchomvu,dozen sudi,ziro
Amken vilaza nyie
Kaz kula tu bangi mkija Nairobi ndo mnasema na nyie mmenda kaz za njee
B 12 twangalaa ana duka la nguo brand name Born 2 ShineYan katika,watangazaj wanaopiga pesa na,wanaojua nn wanakifanya,n huyu millard aiseee huyu jamaaa yuko vzr sana
Co kama,wenzie hapo wapo 10years na hawana hata kibanda n kubadilisha tu magar mjin na starehe
Mchomvu,dozen sudi,ziro
Amken vilaza nyie
Kaz kula tu bangi mkija Nairobi ndo mnasema na nyie mmenda kaz za njee
George marato itvAtakuwa anareport nn sasa
Hahahahahahahah pumbavu sanaBendera muhimu!
Aitanue nayeye tuone kwapa lake
Hahahahahahahah pumbavu sana