Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,898
- 3,657
Hapa naangalia mechi ya CAF ya Confederation wanacheza Dream (DFC] ya naija wapo homeground wameshakula chuma 3-0 dhidi ya mafarao wa Zamalek.
Ukiangalia makosa ni yaleyale ya siku zote kama timu zetu hapa.
Papara nyingi, kimbiakimbia za hovyo kama za ndondo cup na kukosa umakini wanapokaribia goli la wapinzani kunawagharimu sana hawa DFC.
Na walivyoelemewa wanaweza kula hamsa hawa.
Hawa hawana tofauti na hawa wachezaji wetu wa hapa yaani wakikaribia goli la mpinzani wanapoteza utulivu na umakini kabisa unashangaa mtu yuko nafasi nzuri lakini icho atakachokifanya anakijua yeye na mungu wake tu.
Nadhani kuna kitu hawa waarabu wanacho na wachezaji wetu wanakikosa. wataalam wetu wana kazi ya kufanya kuweka sawa haya.
Ukiangalia makosa ni yaleyale ya siku zote kama timu zetu hapa.
Papara nyingi, kimbiakimbia za hovyo kama za ndondo cup na kukosa umakini wanapokaribia goli la wapinzani kunawagharimu sana hawa DFC.
Na walivyoelemewa wanaweza kula hamsa hawa.
Hawa hawana tofauti na hawa wachezaji wetu wa hapa yaani wakikaribia goli la mpinzani wanapoteza utulivu na umakini kabisa unashangaa mtu yuko nafasi nzuri lakini icho atakachokifanya anakijua yeye na mungu wake tu.
Nadhani kuna kitu hawa waarabu wanacho na wachezaji wetu wanakikosa. wataalam wetu wana kazi ya kufanya kuweka sawa haya.